Posted on: October 23rd, 2023
Mkandarasi Nyanza Road Works Ltd ametakiwa kuhakikisha anatekeleza mradi kwa wakati na kwa ubora wenye kuzingatia thamani ya fedha.
Rai hiyo imetolewa na Adv. Mariam Msengi (DA...
Posted on: October 20th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe CPA Amos Makalla amezitaka taasisi za umma kama vile MWAUWASA, LATRA, TANESCO kuhakikisha wanatoa kipaumbele katika utoaji wa huduma za msingi katika hospitali ya Wilaya ya...
Posted on: October 19th, 2023
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imetakiwa kuhakikisha inayapima maeneo yote ya taasisi za umma ikiwemo vituo vya afya shule kwa kuziwekea vigingi sambamba na kuziwekea uzio, ili kuepukana na migogo...