• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUWAJIBIKA

Posted on: August 4th, 2025

"Dhamana mliyopewa ya kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano na madiwani kwa Tanzania Bara ni kubwa,nyeti na muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu, hivyo mnategemewa kuzingatia utendaji wenu na muwajibike ipasavyo hadi tutakapokamilisha jukumu hili la uchaguzi mkuu"

 

Kauli hiyo imetolewa na Ndugu Herbert Bilia ambae ni msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ilemela leo tarehe 04 Agosti 2025 wakati akifungua mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

 

Aidha amewataka kuzingatia na kufuata hatua na taratibu mbalimbali za kikatiba na kisheria sambamba na kusoma katiba, sheria, kanuni taratibu miongozo na kufuata maelekezo yote yatakayokuwa yakitolewa na tume huru ya taifa ya uchaguzi.

 

Pamoja na hayo Ndugu Bilia amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuisoma miongozo yote, kushirikisha vyama vyote vya siasa vyenye usajili, kuvitambua mapema vituo vya kupigia kura ili kubaini mahitaji maalum kama yapo, kuhakiki vifaa vya uchaguzi, kutoa taarifa mapema kwa vyama vya siasa wakati wa kuwaapisha mawakala wao, sambamba na kuzingatia muda wa kufungua kituo cha kupigia kura.

 

Mafunzo hayo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata 38 kutoka kata 19 ambayo yataendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 04 hadi 06 Agosti yametanguliwa na washiriki wa mafunzo hayo kuapa kiapo cha kutunza siri pamoja na tamko la kujitoa katika vyama vya siasa zoezi lililo ongozwa na Hakimu mfawidhi wa mkoa wa Mwanza Mhe Bonaventure Michael Lema ambae amewasisitiza kusimamia viapo vyao.

 

 

 

"KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA" 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.