• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

Posted on: December 3rd, 2025

Tarehe 02/12/2025 kupitia mkutano wa kwanza wa halmashauri, madiwani waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025, waliapishwa rasmi zoezi lilioenda sambamba na uchaguzi wa mstahiki meya  na naibu meya wa Manispaa ya Ilemela.

 

Kufuatia uchaguzi huo Mh. Sara Ngw’ahni diwani wa kata ya Buswelu kupitia CCM amechaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela kwa kupata kura 27 kati ya kura zote 27 zilizopigwa huku Mh. Kuluthum Abdallah diwani wa viti maalum kupitia CCM amechaguliwa kuwa Naibu Meya kwa kupata 23 na kumshinda mgombea mwenzake ambae ni Mh. Donald Ndaro diwani wa kata ya Kitangiri kupitia chama cha ACT – WAZALENDO ambae alipata kura 4 kati ya kura 27 zilizopigwa.

 

Zoezi hili lilisimamiwa na Bi. Anna Mbao katibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela ambapo na kuwataka kuhakikisha wanakuwa kiunganishi sahihi kati ya serikali na wananchi kwa kusikiliza changamoto zote za wananchi na kuzipeleka kwa serikali kupitia vikao vya baraza la madiwani ili ziweze kutatulia na hatimae wananchi waweze kupata maendeleo.

 

Kuapishwa kwa madiwani, pamoja na kumchagua mstahiki meya na naibu meya sambamba na kuunda kamati za kudumu za halmashauri ni  hatua ya kuanza kutekeleza majukumu ya baraza katika halmashauri kwenye kuwatumikia wananchi wa Ilemela.

 

Baraza la Madiwani la Manispaa ya Ilemela linaundwa na madiwani 27, ambapo madiwani 7 ni wa viti maalum, 19 ni wa kata , pamoja na mbunge wa Jimbo la Ilemela.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.