• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MANUNUZI

Kitengo cha Manunuzi na Ugavi ambacho kimeundwa kwa mujibu wa sheria ya Manunuzi Namba 07 ya Mwaka 2011 Kifungu 37 ambapo sheria hiyo inaitaka Taasisi ya Serikali iwe na Kitengo cha Ugavi (Procurement Management Unit).

Kitengo cha Ugavi kinatakiwa kiwe na Mkuu wa Kitengo mwenye elimu aliyo somea ujuzi huo na sifa, uzoefu katika kazi za manunuzi na pia awe amesajiliwa na Bodi ya manunuzi (Professional Body) kama Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 kifungu Na 37(3) kinavyoeleza.

Kwa mujibu wa sheria, Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi ataripoti moja kwa moja kwa Afisa Masuuli (Mkurugenzi) wa taasisi husika.

Afisa Masuuli wa taasisi atahakikisha kwamba Kitengo cha Manunuzi na Ugavi (PMU) kinatengewa fedha kwenye bajeti ili kiweze kutimiza majukumu yake.

Majukumu ya Kitengo cha Manunuzi na Ugavi yametajwa katika Sheria ya Manunuzi ya Umma namba 7 ya Mwaka 2011 Kifungu cha 38 (a-q).kama ifuatavyo:

  • Kusimamia manunuzi na mauzo ya mali za Halmashauri yote yanayofanyika ndani ya taasisi kwa njia ya zabuni.
  • Kuwezesha shughuri za Bodi ya Zabuni.
  • Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya zabuni.
  • Kuwa Sekreterieti kwenye vikao vya Bodi ya zabuni.
  • Kupanga manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri kwa njia ya zabuni.
  • Kushauri manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri kwa kuzingatia taratibu za zabuni.
  • Kukagua na kuandaa maelezo ya mahitaji ya manunuzi.
  • Kuandaa makablasha ya zabuni.
  • Kuandaa matangazo ya nafasi za zabuni.
  • Kuandaa mikataba
  • Kutoa mikataba iliyokwisha sainiwa kwa wahusika.
  • Kutunza kumbukumbu ya taratibu za manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri.
  • Kutunza orodha ama reja ya mikataba yote
  • Kuandaa taarifa ya manunuzi ya mwezi kwa ajili ya Bodi ya zabuni.
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa mpango wa manunuzi wa mwaka kwa menejimenti kwa kila robo.
  • Kuunganisha shughuri za manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri ya Idara mbalimbali ndani ya Taasisi.
  • Kuandaa taarifa nyinginezo iwapo zitahitajika.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.