Posted on: June 28th, 2024
Mwenyekiti wa kamati ya kupinga ukatili wa wanawake na watoto (MTAKUWWA) wa Manispaa ya Ilemela ndugu Leonard Masale ameitaka jamii ya Ilemela kuungana kupinga ukatili wa namna yoyote ndani ya jamii.
...
Posted on: June 28th, 2024
Waganga wa tiba asili na mbadala ndani ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi na kuwafichua matapeli na waovu wanaojifanya waganga wa kienyeji na kusababisha mau...
Posted on: June 26th, 2024
Katika kipindi cha miaka mitano mfululizo halmashauri ya manispaa ya Ilemela imeendelea kupata hati safi (unqualified opinion), hayo yamesemwa na ndugu Athuman Mustapha mkaguzi mkuu wa nje alipowasili...