• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA WASISITIZWA KUITISHA MIKUTANO YA MAENDELEO

Posted on: July 26th, 2024

Wenyeviti wa mamlaka za Serikali za mitaa wamesisitizwa kuhakikisha wanaitisha mikutano ya hadhara kwaajili ya kuhamasisha maendeleo, kutoa taarifa za mapato na matumizi ili wananchi wajue kinachofanywa na Serikali yao.

Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula wakati wa mkutano wake wa hadhara katika viwanja vya msitu wa Kipeja kata ya Mecco alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata hiyo ambapo akawataka wenyeviti wa mitaa kuhakikisha kila mwananchi anashiriki shughuli za maendeleo pamoja na kutambua kila kinachoendelea ndani ya eneo lake ili kuweka urahisi wa kuchangia miradi na kuimilikisha kwa jamii

'.. Niwasihi wenyeviti wa mitaa japo muda uliobaki ni mchache hakikisheni mnawasilisha taarifa za mitaa, usije kuingia kwenye shida, usije ukakosa kura, someni mapato na matumizi ..' Alisema

Aidha Mhe Dkt Mabula akawataka wananchi wa kata hiyo kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hasan kwa fedha za miradi ya maendeleo pamoja na kuwakumbusha namna wilaya hiyo inavyofanya vizuri katika sekta ya ardhi kwenye zoezi la urasimishaji na umilikishaji nchini

Godlisten Kisanga ni diwani wa kata ya Mecco mbali na kumshukuru na kumpongeza Mbunge huyo kwa namna anavyohamasisha maendeleo akaongeza kuwa kiasi cha shilingi milioni 75 kimetolewa kwa kata yake na kujenga madarasa 3 ya shule ya sekondari Nundu, milioni 14 imetolewa kwaajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo, matofali 2500 yametolewa na mbunge huyo kwaajili ya ujenzi wa ofisi ya kata yake pamoja na mifuko 200 itakayotumika kujenga barabara ya mwambani hivyo kuwaomba wananchi kuendelea kushirikiana katika maendeleo

Nae mwakilishi wa mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela ambae pia ni afisa Elimu msingi Mwalimu Marco Busungu akasema kuwa manispaa iko teyari kushirikiana na wananchi kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia sera na kauli mbiu ya wilaya hiyo ya Ilemela ni yetu tushirikiane kuijenga ambapo wananchi wanaanzisha mradi, Mbunge atatoa matofali ya ujenzi wa mradi huo na mkurugenzi wa manispaa kumalizia mradi

Kamau Levis na Josephine Chilana ni wananchi wa kata hiyo ambapo wamelalamikia makampuni yanayofanya kazi ya  urasimishaji wa makazi ndani ya mtaa wao kushindwa kutimiza wajibu wao kwa wakati hivyo kusababisha kuchelewa kumiliki ardhi yao na kujikwamua kiuchumi jambo lililopata ufumbuzi kutoka kwa Mbunge Dkt Angeline Mabula kwa kuagiza afisa mipango miji kufika eneo la wananchi na kupata suluhu

Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula yupo jimboni akiendelea na ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi akishirikiana na wakuu wa idara za manispaa ya Ilemela na wakuu wa taasisi zilizopo ndani ya wilaya hiyo ikiwemo Tanesco, MWAUWASA na TARURA

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.