• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MWENGE WA UHURU 2024 WAAGIZA KUFANYIKA MAKONGAMANO YA VIJANA KILA ROBO YA MWAKA

Posted on: October 13th, 2024

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa mwaka 2024   Ndugu Godfrey Eliakim Mnzava ametoa rai ya kufanyika kwa  makongamano ya vijana kila robo ya mwaka wa fedha ili kutoa fursa ya kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu

Akizungumza wakati wa kufunga kongamano la vijana wa wilaya ya Ilemela lililofanyika katika viwanja vya TBA kata ya Kawekamo siku ya tarehe 13 oktoba 2024 kiongozi wa mbio hizo amesema kuwa ni maelekezo ya mbio za Mwenge 2024 kila wilaya kuhakikisha inafanya kongamano la vijana ili wapate fursa ya kuelezwa kwa kina mambo mbalimbali juu ya wapi tumetoka, wapi tupo na wapi tunaelekea ili kuwajengea uzalendo na kujua maslahi mapana ya taifa

'.. Natamani kuona makongamano ndani ya wilaya ya Ilemela Yana kuwa endelevu, Mara Kwa mara Vijana wakutane na waelezwe masuala mbali mbali na Kwa namna kongamano hili lilivyo sitalifunga badala yake nalihailisha ili tuendelee kuwa nayo mengine angalau yafike manne ..' Alisema

Aidha Ndugu Mzava ametamani kuona makongamano hayo ya vijana yanatumika kuwajengea uwezo vijana kutambua fursa za kiuchumi, kujitegemea na  kuzitumia kujikwamua hao binafsi na taifa kwa ujumla

Kwa upande wake afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Ilemela ambae pia ni mratibu wa kongamano hilo Bi Amina Bululu amesema kuwa wilaya ya Ilemela ina fursa nyingi ikiwemo uwepo wa kuwa karibu na Ziwa Viktoria ambalo linaweza kutumika kujiinua kiuchumi kwa kufanya shughuli za uvuvi hivyo kuwataka Vijana kushirikiana na Serikali kuhakikisha fursa zote zinazopatikana zinatumika kikamilifu

Daktari wa afya ya akili kutoka hospitali ya rufaa ya Bugando Paul Ntemi akaongeza kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau wanapambana kuhakikisha Vijana wa taifa la Tanzania wanakuwa na afya ya akili iliyokuwa njema kwakuwa changamoto ya afya ya akili itachangia kulikosesha taifa Vijana wenye uwezo wa kuzalisha mali

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.