• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SERIKALI KUIMARISHA ULINZI KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Posted on: October 13th, 2024

Serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuboresha huduma kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kuimarisha miundo mbinu rafiki kwao.

Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu Godfrey Mzanva wakati alipokuwa akizindua bweni kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum katika shule ya msingi Buswelu ndani ya Manispaa ya Ilemela.

".. Ulinzi na usalama kwa watoto wenye mahitaji maalum ni jukumu la jamii nzima,serikali tayari imeonyesha njia,pongezi kwa Manispaa ya Ilemela kuendelea kuunga mkono juhudi hizo kwa kujenga mabweni kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum.."

Akisoma taarifa ya ujenzi wa bweni hilo Mkuu wa shule ya msingi Buswelu Mwl.Wiliherimina Sato amesema mradi huo umegharimu jumla ya shilingi milioni 172,505,000 ambapo shilingi milioni 100 ni pesa kutoka serikali kuu kupitia mradi wa LANES na shilingi milioni 72,505,000 ilitokana na mapato ya ndani ya Manispaa hiyo huku akifafanua kuwa bweni hilo lina uwezo wa kuhudumia watoto 76.

Nae mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe.Dkt.Angeline Mabula amemshukuru Mhe.Rais kwa kutoa fedha nyingi kufanya maendeleo Ilemela huku akiwataka wazazi na walezi kuacha kuwaficha watoto wenye ulemavu ndani.

".. Watoto wetu hapa watakuwa salama na watapata nafasi ya kujifunza vizuri wakiwa shuleni muda wote.."

Swaumu Ally ni mzazi ambae mwanae anasoma shuleni hapo amesema anashukuru serikali kwa kuwakumbuka watoto wao na kuwaboreshea mazingira yao ya kucheza na kujisomea.

Shule ya msingi Buswelu ya watoto wenye mahitaji maalum ina jumla ya wanafunzi 90 ambapo wavulana ni 48 na wasichana ni 42 kati yao wenye usonji ni 9, ulemavu wa akili 43,wasioona 4,viziwi 18 na walemavu wa viungo 16.

















Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.