• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII YATAKIWA KUTIBU MAJI KUJIKINGA NA MARADHI YA TUMBO

Posted on: July 30th, 2024

Jamii imetakiwa kutumia dawa za kutibu maji au kuchemsha kabla ya kuyatumia ili kujikinga na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na magonjwa mengine ya tumbo kama kuharisha na kutapika.

Hayo yamesemwa na Bi. Rose Nyemele ambae ni mratibu wa elimu ya afya kwa umma katika Manispaa ya Ilemela wakati akizunguma na wanafunzi wa shule ya msingi Kayenze ndogo kata ya Bugogwa wakati akitoa elimu juu usafi wa mazingira,uandaaji wa chakula katika mazingira safi na matumizi ya vyoo bora.

‘.. Maji yaliyochemshwa yana harufu ya moshi na maji yaliyowekwa dawa yana harufu ya dawa, Sasa jamani hata maji yenu mnayotumia hapa shuleni yanatakiwa yatibiwe, tunaweka ndoo ya lita ishirini alafu tunaweka kidonge 1 kwa maji ya bombani,maji kutoka kwenye ziwani moja kwa moja au kwenye mito vidonge viwili. Tunatamani wote muwe salama mjijali ..’ Alisema

Zaidi ya vidonge 35,000 vya Aqua tabs vimegawiwa bure kwa taasisi za Manispaa hiyo ikiwemo shule na masoko kwa ajili ya kutibu maji wanayotumia ili kuwa kinga na magonjwa yanayotokana na kunywa maji yasiyo salama.

Kwa upande wake Afisa afya manispaa ya Ilemela Bwana Francis Deogan ametaja madhara ambayo binadamu anaweza kuyapata kwa kutotumia maji safi na salama ikiwemo ugonjwa wa kipindupindu, kutapika na kuharisha huku akisisitiza kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wasiokuwa na vyoo bora na salama.

Erasto Fredrick ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kayenze ndogo ambapo ametaja hatua mbalimbali walizochukua kama shule katika kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika eneo lao ikiwemo  kuweka utaratibu wa kutumia maji tiririka na sabuni kila mara wanapokuwa eneo la shule, kusitisha watu wanaofanya biashara ndogo ndogo za vyakula katika eneo la shule, kusafisha mazingira ya eneo la shule na kutumia vyoo safi na salama.

Manispaa ya Ilemela inaendesha operesheni za usafi, utoaji elimu na usambazaji wa dawa za kutibu maji katika maeneo yenye mikusanyiko kama kambi za wavuvi, mashuleni, masoko, minada na nyumba kwa nyumba ili kukabiliana maradhi ya tumbo na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ulioanza kujitokeza katika baadhi ya maeneo nchini.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.