• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAONI YA KILA MTU NI MUHIMU KATIKA MCHAKATO MAANDALIZI YA DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050

Posted on: July 27th, 2024

Katibu tawala wa Wilaya ya Ilemela Adv.Mariam Msengi akimwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Hassan Masala amesema hakuna mtu wala kundi litakaloachwa katika mchakato wa maandalizi ya dira ya taifa ya 2050,ni mpango wa serikali ya awamu ya sita kuhakikisha wananchi wote wanashiriki mchakato huo.

Amezungumza hayo wakati wa kongamano la maandalizi ya dira ya taifa ya maendeleo ya mwaka 2050 ambapo maoni yamekusanywa kutoka makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo wawakilishi wa wazee,watu wenye ulemavu,vijani ,asasi zisizo za kiserikali ,vyama vya siasa,vyama vya kijamii,viongozi wa dini ya wakristu na waislamu,wanamichezo na wamachinga.

Akiwasilisha taarifa fupi ya mafanikio ya dira ya maendeleo 2025 mratibu wa ukusanyaji maoni ya dira ya taifa Ilemela Joseph Mrimi ameainisha malengo makuu ya dira ya taifa ikiwemo kuboresha hali ya maisha ya Watanzania,kuwepo kwa mazingira ya amani,utulivu na umoja,kujenga utawala bora na utawala wa sheria sambamba na kujenga uchumi imara unaoweza kuhimili ushindani kutoka mataifa mengine.

Aidha Adv.Msengi amesema ushiriki wa wananchi na makundi yote ya wadau una manufaa makubwa kwa taifa kwani inajenga uaminifu na kukuza hisia za umiliki kwao sambamba na kuakisi maono ya pamoja .

“ Maendeleo yaliyopatikana yanatokana na nchi kutekeleza  mipango na mikakati ya muda mrefu ,muda wa kati na muda mfupi katika nyanja za kiuchumi na kijamii tangu dira 2025ilipozinduliwa.”

Shekh Abdulwarith Juma Abdallah ni shekhe wa Wilaya ya Ilemela maoni yake juu ya dira ya taifa ni matamanio kwamba ifikapo mwaka 2050 Tanzania iwe na huduma zilizoboreshwa huku akisisitiza uwajibikaji hasa kwa watumishi wa umma waliopewa dhamana ya kuhudumia watu kutoa huduma kwa weledi na uadilifu na kupinga rushwa .

Nae Mwenyekiti wa Democratic Party (DP ) wilaya ya Ilemela Mchungaji Clement Masonyi amesema Dira ya maendeleo ijayo iangalie maboresho ya mitaala ya elimu ili kuondoa dhana ya wasomi wengi kutegemea kuajiriwa na badala yake watoto wajengewe uwezo wa kujitegemea tangu shule za msingi.

Akihitimisha kongamano hilo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Wayayu amesema ana imani kubwa na maoni mengi yaliyotolewa na wadau hao huku akiahidi baadhi ya maoni ambayo yapo ndani ya uwezo wa manispaa kuanza kutekelezwa mara moja katika kuboresha .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.