Posted on: November 14th, 2024
Zaidi ya shilingi milioni 34 za kitanzania zimetolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF
...
Posted on: November 14th, 2024
Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imekusudia kuzitangaza fursa mbalimbali za uwekezaji kupitia mfumo wa ubia (PPP) lengo ikiwa ni kuongeza ubora na ufanisi wa utoaji huduma pamoja na kupanua wigo wa ...
Posted on: November 13th, 2024
Jamii imetakiwa kuwafikisha katika hospitali ya wilaya ya Ilemela wagonjwa wenye shida ya ulemavu wa mdomo wazi ili waweze kufanyiwa upasuaji sanifu na urekebishaji bila gharama zozote, kwa muda wote ...