• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAWEKA MIKAKATI YA NAMNA KUJIKINGA NA MPOX

Posted on: March 15th, 2025

Kufuatia wizara ya afya kutangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya MPOX mnamo tarehe 09 Machi 2025, kamati ya afya ya msingi ya wilaya ya Ilemela  imekutana kujadili juu ya namna ya kuchukua tahadhari ya ugonjwa huu.

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilemela Dkt.Maria Kapinga alitoa elimu ya ugonjwa huo wa homa ya MPOX kwa washiriki wa kikao kwa kuwaeleza chanzo cha ugonjwa huu na dalili zake sambamba na namna ya kujikinga ili kuepukana na ugonjwa huo.

Dkt Maria alizitaja dalili za ugonjwa huo kuwa ni pamoja na mwili kutokwa na upele/malengelenge, maumivu ya misuli,uchovu wa mwili, maumivu ya mgongo, homa, kuumwa kichwa n.k sambamba na kutaja njia ya kujikinga ikiwemo kuepuka kushikana mikono,kukumbatiana, kunawa mikono na maji tiririka.

Aidha  washiriki wa kikao hicho wameombwa kutoa elimu kwa jamii inayowazunguka  juu ya ugonjwa huu na kuhimizwa ushirikiano pindi ambapo itahisiwa kuna mgonjwa kwa kutoa taarifa mapema na sio kuficha ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

Pia kupitia kikao hicho mikakati ikawekwa ikiwa ni pamoja na kuendelea kutoa elimu juu ya ugonjwa huu kwa makundi mbalimbali, kuhakikisha kunakuwepo na maji tirirka katika maeneo mbalimbali kama masoko, stendi za mabasi n.k, usitishaji wa uuzaji wa nyama pori pamoja na upimaji wa hali ya joto kwenye mikusanyiko hususan maeneo ya stendi za mabasi na daladala.

Kikao hicho kilichofanyika tarehe 15 machi 2025 na kuongozwa na wakili Mariam Msengi ambae ni katibu Tawala wa Ilemela akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo  kiliwashirikisha  viongozi wa dini, wataalam wa manispaa ya Ilemela,viongozi wa makundi ya kijamii kama bodaboda na viongozi wa masoko .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.