Posted on: October 20th, 2025
Mapema leo tarehe 20 Oktoba 2025, timu ya madaktari bingwa na bingwa bobezi wa Rais Samia wamewasili Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kutoa huduma za afya kwa wananchi wa Ilemela ikiwa ni awamu ya ...
Posted on: October 16th, 2025
Timu ya menejimeti ya Manispaa ya Ilemela (CMT) iimekagua utekelezaji wa miradi yenye thamani ya takriban shilingi milioni 474.20, zikiwa ni fedha za mapato ya ndani na fedha kutoka serikali kuu.
&...
Posted on: October 15th, 2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji wa wizara ya Afya na wadau wa afya nchini kusimamia utekelezaji wa afua na misingi iliyopangwa kwenye andiko la mradi p...