• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TASAF WARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA

Posted on: January 29th, 2025

Mpango wa maendeleo ya jamii (TASAF) imeridhishwa na utekelezaji wa miradi na kuipongeza Halmashauri ya manispaa ya ilemela kwa usimamizi mzuri na utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na mpango wa kunusuru kaya masikini tasaf sanjari na matumizi ya mifumo ya kielektroniki katika uhawilishaji wa fedha kwa walengwa wa mpango huo

 

Akizungumza mara baada ya ziara ya kutembelea na kuikagua miradi inayotekelezwa na mfuko wa maendeleo (TASAF), mkurugenzi wa mifumo, tathimini na mawasiliano ambae pia ni mwakilishi wa mkurugenzi mkuu wa TASAF makao makuu ndugu Japhet Boaz amesema kuwa katika mkoa wa mwanza manispaa ya ilemela imekuwa kinara katika utekelezaji mzuri wa miradi pamoja na kuwa na idadi ndogo ya walengwa wanaolipwa fedha taslimu mkononi tofauti na maeneo mengine 

 

'.. Serikali imeweka msukumo zaidi katika matumizi ya mifumo ya kielektroniki, ilemela imechukua hili kwa uzito na msukumo mkubwa sana, zaidi ya asilimia 99 ya walengwa wanahudumiwa kielekteoniki, tunatamani halmashauri nyingine zijifunze katika hili ..' alisema

 

Aidha ndugu Boaz ameridhishwa na utekelezaji mzuri wa mradi wa zahanati ya mihama uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 221.1 na shule ya sekondari igogwe iliyogharimu zaidi ya shilingi milioni 891.46 na kuongeza kuwa miradi hiyo imezingatia thamani ya fedha iliyotolewa huku akiwataka wananchi wa maeneo hayo kuitumia miradi hiyo ili iwe na tija

 

Leonard Robert ni mratibu wa TASAF manispaa ya ilemela akitoa taarifa ya utekelezaji amesema kuwa  manispaa yake ina walengwa 3450 kati yao walengwa 15 tu ndio wanaolipwa fedha mkono nje ya mifumo ya kielektroniki sawa na asilimia 99.7 na kwamba jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili walengwa wote walipwe kielektroniki 

 

Kwa upande wake diwani wa kata ya Kitangiri Mhe Donald Ndaro Na Mhe William Mashamba diwani wa kata ya Bugogwa mbali na kushukuru kwa fedha za utekelezaji wa miradi katika maeneo yao, wameomba serikali kuendelea kutekeleza miradi inayonufaisha wananchi wa maeneo yao na kutatua kero zinazowakabili ikiwemo miundombinu ya barabara, uzio wa shule na vituo vya afya

 

Nae bi Sikujua Malumba kutoka kikundi cha upendo kata ya Ilemela na Laurencia Lubigisa kutoka kikundi cha wasikivu kata ya bugogwa wameshukuru kwa miradi iliyotekelezwa kwani imewasaidia kupunguza umasikini kwa ngazi ya familia na kuinua uchumi wao na taifa kiujumla

 

Katika kipindi cha kuanzia mwaka 2020 hadi 2024 halmashauri ya manispaa ya Ilemela imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.21 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya afya, elimu,barabara pamoja na kukuza kipato cha kaya, huku shilingi bilioni sita zimepokelewa kuanzia mwaka 2021 hadi 2024 kwa ajili ya malipo ya walengwa wa kaya maskini fedha hizi zimepokelewa kutoka  mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.