Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI ilitoa shilingi milioni 500 na zimetumika kituoni hapo kujenga maabara ya kisasa,chumba cha upasuaji, wodi ya akina mama, chumba cha maiti, nyumba ya mtumishi, choo pamoja na kukarabati majengo ya zamani.
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo ametangaza ajira mpya za walimu 3,033 ambapo 266 ni walimu wa Sekondari na 2,767 ni wa shule za Msingi.Walimu hao wanatakiwa kuripoti kazini kuanzia tarehe 27 Disemba 2017 hadi 07, Januari 2018.
Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.