• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Videos

  • MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA

    July 3rd, 2024

    Songa na Dokta Samia Suluhu Hassan, sasa ni  Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Halmashauri ya Manispaa Ilemela ilianzishwa kwa Sheria ya Serikali za Mitaa Namba. 8 ya mwaka 1982 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2002, kwa Tangazo la Serikali Namba. 256 la tarehe 28/11/2011  na kutangazwa rasmi tarehe 01 Oktoba, 2012 kuwa Halmashauri ya Manispaa Ilemela.Halmashauri ya Manispaa Ilemela  ina tarafa 1 na kata 19, mitaa 171 ikiundwa na baraza la madiwani lenye jumla ya madiwani 26, na mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Angeline Mabula wote kutoka CCM.Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ipo upande wa Kusini mwa Ziwa Victoria. Magharibi imepakana na Ziwa Victoria, Mashariki imepakana na Halmashauri ya Wilaya ya Magu na Kusini Halmashauri ya Jiji la Mwanza. Halmashauri hii ni kati ya Halmashauri nane za Mkoa wa Mwanza. ukubwa wake, ni  kilomita za mraba 1080.55. Asilimia 76.7 za eneo lake zimefunikwa na maji na asiimia 23.3% ni nchi kavu.  Eneo la Manispaa ya Ilemela ni sawa na asilimia 3.1 ya eneo lote la Mkoa wa Mwanza.Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imeendelea kupokea fedha kutoka serikali kuu, kwa ajili wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.Katika kipindi cha miaka mitatu cha awamu ya sita kuanzia Machi 2021 hadi Machi 2024 chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN, Halmashauri imepokea jumla ya fedha kiasi cha shilingi Bilioni 65.2 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.Kiasi cha Shilingi Bilioni 16.67 zimepokelewa katika sekta ya Elimu Sekondari,   Bilioni 6.65 katika sekta ya Elimu Awali na msingi, Bilioni 3.2  sekta ya Afya na Bilioni 1.75  ukamilishaji wa jengo la utawala.Bado tunasonga na Mama Samia hapa katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, katika kipindi hiki cha miaka mitatu fedha zingine zilizopokelewa ni kiasi cha Shilingi Bilioni 13.79 zimepokelewa kwa ajili ya ukamilishaji  wa mradi wa kimkakati wa stendi ya mabasi ya Nyamhongolo,  Bilioni 5.39 kwa utekelezaji wa miradi ya TASAF, Bilioni 3.58 zoezi la upimaji wa ardhi sangabuye.Si hivyo tu kiasi cha Bilioni 1 zimepokelewa ikiwa ni fedha za msaada wa kibajeti na  Milioni 227.91 zilipelekwa katika mfuko wa jimbo kwa ajili ya kuchochea maendeleo ndani ya jimbo la Ilemela.Aidha Bilioni 12.90 ambazo ni  fedha za mapato ya ndani zimetekeleza miradi mbalimbali ya Afya, Elimu, uvuvi, upimaji na ulipaji wa fidia za ardhi, maendeleo ya jamii, barabara, masoko na biasharaHII NDIO MIAKA 3 YA SONGA NA SAMIA.

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA EAST BUSWELU

    October 1st, 2023
  • WITO WATOLEWA KWA WANAFUNZI WALIORIPOTI KIDATO CHA TANO SHULE ZA ILEMELA

    August 23rd, 2023
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • Next →

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.