• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MKALIPA AMEWATAKA WATAALAM KUSIMAMIA MASUALA LYA LISHE

Posted on: February 6th, 2026

Mhe Amiri Mkalipa, Mkuu wa wilaya ya Ilemela amewataka wataalam wa lishe kuhakikisha wanasimamia vyema masuala ya lishe ili kuweza kuwa na jamii yenye lishe bora.

 

Ametoa rai hiyo wakati akiongoza kikao cha tathimini ya lishe wilaya siku ya tarehe 22 Januari 2026, kikao kilicholenga kujadili taarifa ya nusu mwaka katika kipindi cha Julai - Desemba 2025/2026

 

Aidha Mhe Mkalipa, amewataka wataalam wa lishe kuendelea kutoa elimu ya uhifadhi wa chakula kinachopikwa ili kuepukana na magonjwa mbalimbali sambamba na kuchukua hatua kwa wale wote ambao watakikuka taratibu.

 

Nao wajumbe wa kikao hicho katika nyakati tofauti wamepongeza jitihada za kitengo cha lishe katika kutekeleza shughuli za lishe katika kipindi cha Julai - Desemba 2025/2026 huku wakiwataka watendaji wa kata kuwashirikisha madiwani kushiriki katika maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa (SALIM).

 

Akiwasilisha taarifa ya hali ya lishe kwa nusu mwaka Bi Pili Kassim ambae ni afisa lishe wa Manispaa ya Ilemela alisema kuwa,kitengo kinaendelea kufanya maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa katika jamii ili kuzidi kuwaibua watoto wenye changamoto ya utapiamlo na kutoa huduma stahiki ikienda sambamba na kutoa elimu ya kutosha juu ya uandaaji na mpangilio wa chakula unaofaa kwa kutumia vyakula vinavyowazunguka katika maeneo yao wakizingatia makundi sita ya chakula

 

Kupitia kikao hicho cha tathmini ya lishe wilaya taarifa mbalimbali kwa kipindi cha nusu mwaka (Julai - Desemba 2025/2026) zilijadiliwa ikiwemo taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe, ukaguzi wa chakula, kupitia na kujadili kadi alama ya lishe, taarifa ya ulaji wa chakula shuleni,maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa na taarifa ya hali ya lishe,

Announcements

  • FOMU YA MAOMBI YA MWANDAAJI WA MAUDHUI February 02, 2026
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA YA MANISPAA YA ILEMELA January 22, 2026
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • 27 YA KIJANI;MITI 2361 IMEPANDWA WILAYANI ILEMELA

    February 06, 2026
  • DC MKALIPA AMEWATAKA WATAALAM KUSIMAMIA MASUALA LYA LISHE

    February 06, 2026
  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.