• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

27 YA KIJANI;MITI 2361 IMEPANDWA WILAYANI ILEMELA

Posted on: February 6th, 2026

27 YA KIJANI; MITI 2,361 IMEPANDWA WILAYANI ILEMELA

 

Katika kuunga juhudi za Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania za utunzaji na uhifadhi wa mazingira, wilaya ya Ilemela imefanikiwa kupanda  miti 2,361 katika maeneo mbalimbali ikiwa ni ishara ya kumtakia kheri katika siku yake ya kuzaliwa.

 

Akiongoza zoezi la upandaji miti lililofanyika katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Ilemela mapema tarehe 27 Januari, 2026, Mhe. Said Mtanda, mkuu wa mkoa wa Mwanza ametoa wito kwa wananchi kupanda miti katika makazi yao ikiwa ni sehemu ya uhifadhi wa mazingira.

 

“Uhifadhi wa mazingira ni kitendo cha kizalendo, kupanda miti ni sehemu ya ibada, iwe miti ya kivuli au miti ya matunda na unapopanda mti leo itakuwa ni faida kwa vizazi vya baadae” alisisitiza Mhe. Mtanda

   

Naye, mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe. Amiri Mkalipa kwa niaba ya wananchi wa Ilemela alimtakia kheri Rais Samia katika siku yake ya kuzaliwa na kumhakikishia kuwa watumishi wa wilaya hiyo wanamuunga mkono kwa  kuchapa kazi na kuhakikisha amani na usalama unakuwepo, ukusanyaji wa mapato, utatauzi wa migogoro na kuwasikiliza wananchi kila mmoja kwa nafasi yake.

 

Aidha, Mhe. Mkalipa alitumia fursa hiyo kuishukuru Serikali kwa kuleta fedha nyingi zilizosaidia uboreshaji wa miundombinu na utekelezaji wa miradi ya maendeleo akitolea mfano wa ujenzi wa soko la kimataifa kirumba pamoja na barabara zake pamoja na ujenzi wa shule za msingi.

 

Mhe. Mkalipa alihitimisha kwa kusema kuwa  zoezi la upandaji miti katika wilaya ya Ilemela lilishaanza mapema  kwa kupanda miti ya matunda kwa ajili ya  kivuli na kuhamasisha lishe bora.

Announcements

  • FOMU YA MAOMBI YA MWANDAAJI WA MAUDHUI February 02, 2026
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA MWENYEKITI BODI YA AJIRA YA MANISPAA YA ILEMELA January 22, 2026
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • 27 YA KIJANI;MITI 2361 IMEPANDWA WILAYANI ILEMELA

    February 06, 2026
  • DC MKALIPA AMEWATAKA WATAALAM KUSIMAMIA MASUALA LYA LISHE

    February 06, 2026
  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.