• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

Posted on: August 6th, 2025

Sote tunatambua kuwa maziwa ya mama ni chakula bora kwa mtoto kwakuwa ni salama, safi na yenye kingamwili zote ambazo zinasaidia kulinda mtoto dhidi ya magonjwa mengi ya utotoni, kujenga akili ya mtoto na kumfanya kuwa na afya njema.

 

 

Kila mwaka katika wiki ya kwanza ya mwezi Agosti (tarehe 1 mpaka 7) duniani kote huadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama ambayo hutumika kama kipindi cha kutambua unyonyeshaji wa maziwa ya mama kuwa ni msingi madhubuti wa afya bora, maendeleo na usawa katika maisha ya mwanadamu 

 

 

Katika kuadhimisha wiki hii ya unyonyeshaji manispaa ya Ilemela kupitia kitengo cha Lishe, imeendelea kutoa elimu kwa wakina mama wanaonyonyesha na wajawazito na huduma hii imekuwa ikitolewa katika vituo vya kutolea huduma za afya pamoja na ngazi ya jamii

 

Akitoa elimu ya unyonyeshaji maziwa ya mama katika zahanati ya pasiansi leo tarehe 06 Agosti, 2025 Bi. Pilli Khasim afisa lishe wa Manispaa ya Ilemela amewahimiza wakina mama wanaonyonyesha kuzingatia taratibu sahihi za unyonyeshaji ili kumjengea mtoto afya bora kimwili na kiakili.

 

“Mnyonyeshe mtoto ziwa moja kwa muda wa dakika 15 hadi ishirini kabla ya kumhamishia ziwa jingine hii itamsaidia mtoto asivute hewa tupu itakayomsababishia mtoto kupata shida ya gesi tumboni” alielimisha Bi. Pilli

 

Naye mtoa huduma ya mama na mtoto katika zahanati ya Pasiansi Bi. Savelina Kyesha amewataka kinamama kuzingatia na kuyafanyia maelekezo yaliyotolewa na wataalam kuhusiana na unyonyeshaji wa maziwa ya mama.

 

Naomi Hamisi mkazi wa mtaa wa sabasaba yeye kwa niaba ya akina mama amewashukuru wataalam kwa elimu ambayo wamekuwa wakipatiwa kwani imewasaidia kufahamu namna sahihi ya unyonyeshaji.

 

“Elimu tuliyopatiwa leo ni nzuri, imetusaidia kufahamu namna sahihi ya kunyonyesha, tunatarajia afya za watoto wetu zitaimarika” alisema Naomi

 

Kauli mbiu ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama mwaka 2025 ni “Thamini unyonyeshaji, weka mazingira wezeshi kwa mama na mtoto”.

 

 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.