• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

PROF NAGU AMEWATAKA WATUMISHI KADA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Posted on: July 8th, 2025

Prof.Tumaini Nagu ambae ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMIwa Ofisi ya Rais TAMISEMI amekagua vito vya kutolea huduma za afya vya Buzuruga na Buswelu samabamba na kupokea taarifa ya utendaji kazi wa idara ya Afya ndani ya manispaa ya Ilemela

Akikagua vituo hivyo siku ya tarehe 04 Julai 2025, Prof Nagu amewaelekeza watumishi wa kada ya afya kujitahidi kutoa huduma bora kwa ueledi na kuzingatia maadili ya taaluma yao na kuwataka kuangalia namna wanavyowasiliana kati yao lakini pia sana baina yao na wateja wanaowahudumia.

Aidha Prof Nagu amewapongeza watumishi wa idara ya afya kwa kazi kubwa wanayoendelea kufanya ya kuhudumia wananchi, na kusema kuwa serikali inatambua juhudi zao na jukumu hili kubwa la kuhudumia wananchi lakini ni dhahiri wanafanya kazi kubwa

Sambamba na hilo amempongeza mganga mfawidhi wa kituo cha buzuruga Dr. William Ntinginya kwa kuongeza mapato na kufanikiwa kuajiaro watumishi 20 kupitia mapato hayo ya kituo huku akimtaka mganga mkuu wa Mkoa kuhakikisha anafanya msawazo wa watumishi wa kada ya afya ili kuondoa changamoto ya upungufu wa watumishi na kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

"Tutaendelea kuhakikisha tunajenga miundombinu hapa katika kituo cha Buzuruga lakini pia kujenga vituo vya afya vya jirani ili kuwapunguzia idadi kubwa ya wagonjwa lakini pamoja na kuwaondolea wananchi adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya

Hali kadhalika Prof Nagu amewataka watumishi wa kada hiyo ya afya kuendeleza ushirikiano uliopo ili kuendelea kutoa huduma bora na kuahidi kuzishughulikia changamoto walizoziainisha.

Akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi, Dr Maria Kapinga mganga mkuu wa manispaa ya Ilemela amezitaja changamoto mbalimbali ambazo zimekuwa zikikwamisha utendaji kazi wao kuwa ni pamoja na upungufu wa watumishi,nyumba za watumishi sambamba na baadhi ya vifaa tiba huku akimshukuru Naibu Katibu Mkuu huyo kwa kufika Ilemela.



Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • PROF NAGU AMEWATAKA WATUMISHI KADA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    July 08, 2025
  • WALIMU WA AJIRA MPYA WAMETAKIWA KUWEKA MIPANGO SAHIHI YA KAZI

    July 04, 2025
  • ELIMU YA FEDHA KUWAONGEZEA UFANISI WANUFAIKA WA TASAF

    July 03, 2025
  • AWAMU YA KWANZA UCHANJAJI MIFUGO KUANZA TAREHE 03 JULAI, KUKU ELFU 70 KUCHANJWA

    July 02, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.