• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAFUNZO YAKALETE TIJA-MKUU WA WILAYA YA ILEMELA

Posted on: September 11th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala amewataka Waheshimiwa Madiwani wa Ilemela kuyatumia mafunzo waliyopatiwa kuleta tija katika maeneo yao

Mkuu wa Wilaya Ya Ilemela Mhe Hassan Masala Akifunga mafunzo kwa madiwani wa ilemela

Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wa Manispaa ya Ilemela ambayo yalilenga kuwawezesha madiwani hao kusimamia utendaji kazi katika utoaji huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia misingi ya sheria, uongozi na utawala bora.


“Niwashukuru Waheshimiwa Madiwani kwa ushiriki wenu, na kimsingi kile ambacho mmejifunza ninaamini kitaenda kuleta tija katika maeneo yenu”, Amesema Masala

Ameongeza kusema kuwa ana matumaini kuwa mafunzo waliyoyapata yatawawezesha kutekeleza majukumu yao vyema na kuwa migongano na misuguano haitakuwepo tena huku wakiendelea kuisimamia halmashauri kwa kufuata misingi ya sheria.


Oscar Tandula akimwakilisha Afisa wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza, amewapongeza madiwani kwa kujengewa uwezo na kuwahimiza masuala mbalimbali ikiwamo suala la usimamizi wa mapato kuwa ni jukumu lao ikiwa ni pamoja na kuwahamasisha wananchi kuchangia na kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo.

Pamoja na hilo ndugu Oscar amewahimiza madiwani kuhakikisha wanapitia taarifa mkaguzi wa ndani za kila robo pamoja na kuhakikisha kuwa asilimia 10  inayotolewa na Halmashauri kwa makundi ya wanawake, vijana na walemavu inatumika ipasavyo na kuleta tija.


Mhe Sarah Ng’hwani  wa kata ya Buswelu, kwa niaba ya madiwani wote amesema kuwa wameiva na kuwa watafuata waliyofundishwa huku akiushukuru uongozi wa Manispaa ya Ilemela  pamoja na wakufunzi kutoka chuo cha serikali za mitaa cha hombolo kwa kuhakikisha kuwa madiwani wanapatiwa mafunzo haya ambayo yamekuwa ya manufaa makubwa sana kwao huku akiwahimiza waheshimiwa madiwani wenzake kwenda kuyatumia mafunzo hayo kuleta tija kwa manufaa ya wananchi na halmashauri.

Mada mbalimbali zilifundishwa ikiwemo masuala ya uongozi na utawala bora, uendeshaji wa vikao na mikutano katika mamlaka za serikali za mitaa, usimamizi na udhibiti wa fedha katika mamlaka za serikali za mitaa, usimamizi wa manunuzi na mikataba, usimaizi wa miradi ya kimkakati na ile ya maendeleo, usimamizi wa watumishi katika mamlaka za serikali za mitaa, maadili ya madiwani, mfumo wa ujifunzaji kielektroniki, haki na stahiki za madiwani.



Mafunzo hayo ya siku tano kuanzia tarehe 06/09/2021 hadi tarehe 10/09/2021 yaliyotolewa na wakufunzi kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo, yametimishwa kwa waheshimiwa madiwani kupatiwa vyeti vya ushiriki kutoka chuo hicho.





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.