• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

Posted on: August 7th, 2025

JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA  UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

 

"Juhudi za kumfanya mtoto aweze  kunyonya  na kupata afya bora sio jukumu la mama peke yake, kina baba, jamii na wadau mbalimbali tunapaswa tushirikiane"

 

Rai hiyo imetolewa na Bi Rose Nyemele muuguzi mkuu wa Manispaa ya Ilemela akimwakilisha mganga mkuu wa Manispaa ya Ilemela katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama yaliyofanyika katika kituo cha Afya Buzuruga leo Tarehe 07.08.2025.

 

Akizungumza na kina mama waliokuja kupatiwa huduma ya mama na mtoto katika kituo hicho Bi Rose amewashukuru wazazi, walezi, watoa huduma za afya na wadau mbalimbali kwa ushiriki wao uliopelekea maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kuwa yenye mafanikio.

 

Bi. Pilli Khasim, Afisa lishe wa manispaa ya Ilemela akisoma taarifa ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama amesema kuwa lilikuwa ni kutoa elimu ya unyonyeshaji kwa watu  13,724 ambapo tangu kuanza kwa maadhimisho haya tarehe 01.08.2025 na hadi kufikia kilele leo tarehe 07.08.2025 amesema kuwa watu 13,961 sawa na 102% wamefikiwa, kati yao wakina mama ni 13,961 na wakina baba ni 65 tu

 

Akizungumza kwa niaba ya wazazi Ndg. Faraji Issa mkazi wa mtaa wa  Ilalila amewashukuru wataalam kwa kutoa elimu ya unyonyeshaji maziwa ya mama  na pia amewahimiza kina baba wenzake kuwa mstari wa mbele kuwasaidia kina mama katika malezi ya watoto pamoja na kuhudhuria mafunzo na huduma mbali mbali za kiafya zinazotolewa kwa watoto.

 

Maadhimisho haya ya wiki ya unyonyesha wa maziwa ya mama ni ya 33 tangu kuanzishwa kwake na kauli mbiu ya mwaka huu ni “Thamini unyonyeshaji, weka mazingira wezeshi kwa mama na mtoto”

 


Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.