• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

Posted on: August 19th, 2025

Malipo ya mwezi Mei - Juni 2025 yatakuwa ni malipo ya mwisho kutolewa na  mpango wa kunusuru kaya maskini katika manispaa ya Ilemela kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) awamu ya tatu kipindi cha pili ambapo kiasi cha shilingi Milioni 234.49 kinatarajiwa kutolewa kwa kaya 3537 kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 21 Agosti 2025 kwa mitaa 171 

 

Hayo yamebainishwa siku ya  tarehe 19 Agosti 2025 na Ndg Leonard Robert ambae ni mratibu wa TASAF manispaa ya Ilemela ambapo amefafanunua zaidi  kuwa katika kipindi hiki cha miaka mitano,( 2020 - 2025 ) Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ilipokea jumla ya Tsh. 6,898,449,620.00 (Shilingi Bilioni 6.89) ambapo kaya 4,652 zimenufaika na mpango huu ikiwa ni wastani wa kaya zote toka kuanza kwa zoezi hili. 

 

Nae Bw. Fidelis Kirayo mwezeshaji wa mtaa wa Kaguhwa kata ya Nyamhongolo amewasihi wanufaika wa mpango huu kuwa mabalozi wazuri na kuweza kuendelea kushirikiana katika vikundi vyao walivyojiunga ili kuweza kupata mikopo ya halmashauri na kujikwamua kutoka katika umaskini.

 

“Tuendelee kuwa mabalozi kwa kuwaeleza wananchi juu ya mipango mbalimbali ya serikali kuhusiana na kuondoa umaskini na tuendelee kupambana tusaidie na wengine kuonyesha kwamba tulitumia mbinu hii kujikwamua kiuchumi” alisema Bw. Kirayo Mwezeshaji TASAF 

 

Naye Bi Tereza Pius kwa niaba ya wanufaika ameishukuru serikali kwa mpango wa TASAF kwa kuweza kumsaidia kujikwamua kimaisha kwani ameweza kutoka kuishi kwenye nyumba ya nyasi mpaka kupata nyumba ya bati na kuendesha familia yake kiujumla.

 

“Nilikuwa naishi kwenye nyumba ya nyasi na nilikuwa navujiwa kila mara ila TASAF imenisaidia sana nikanunua bati nikaezeka nyumba yangu kutoka kwenye fedha za TASAF na sasa hivi naishi kwenye nyumba ya bati sipati shida tena ya kuvujiwa,”

 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.