• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya UKIMWI Ilemela yatembelea vikundi vya WAVIU

Posted on: February 18th, 2017

KAMATI YA UKIMWI ILEMELA YATEMBELEA VIKUNDI VYA WAVIU Katika kuhakikisha dhamira na jitihada zinazochukuliwa na Manispaa ya Ilemela za kupambana na kudhibiti ugonjwa wa Ukimwi na madhara yake kwa Jamii zinazaa matunda, Kamati ya kudhibiti UKIMWI imefanya ziara kwa vikundi vya WAVIU kwa ajili ya kuhakiki namna ya vikundi hivyo vinavyotumia ruzuku wanayopewa na Manispaa kwa uanzishwaji wa miradi mbalimbali ya kujikwamua kiuchumi na kuacha utegemezi sambamba na kujua changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi Akizungumza katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa Ilemela Mheshimiwa Shaban Maganga amevitaka vikundi hivyo kuwa na matumizi sahihi ya ruzuku wanayopewa kwa kutekeleza miradi waliyoikusudia awali na kuacha kubadilisha miradi hiyo kiholela pasi na kushirikisha Manispaa sanjari na kuagiza wataalamu wa Halmashauri kufanya uhakiki wa kutosha na kutoa elimu kwa vikundi kabla ya kuwapatia fedha hizo … Ni muhimu sasa wataalamu muwe mnatoa Elimu na kufanya uhakiki kwa Vikundi kabla ya kuwapatia fedha zenu kwa maana ya mapato yanayotokana na kulipa kwenu kodi niwaombe mtumie vizuri fedha hizi…’ Aidha Mheshimiwa Maganga amewahakikishia WAVIU hao kuwa Manispaa yake itaendelea kuunga mkono shughuli zinazofanywa na Vikundi vyao na kuwataka kuacha kujiona wanyonge kwa kutojishughulisha na Kazi yeyote halali ya kujiingizia kipato Wawakilishi wa vikundi hivyo wameishukuru Kamati hiyo na Manispaa ya Ilemela kiujumla kwa uamuzi wake wa kuvitembelea Vikundi hivyo na kuahidi kuongeza jitihada katika kuongeza jitihada katika kufanya kazi na kujikwamua kiuchumi ili kuacha utegemezi huku wakiomba kutatuliwa kwa haraka kwa changamoto zinazowakabili ikiwemo kukutanishwa na wadau wa kudhibiti ujasiriamali sambamba na wadau wa kudhibiti ubora wa bidhaa jambo ambalo Mheshimiwa Maganga aliwahakikishia litafanyika na kutoa maelekezo kwa wataalamu juu ya utekelezaji wake Ziara hiyo ilifanyika tarehe 14/02/2017 na kutembelea vikundi vya WAVIU vya Neema Yatosha cha Kawekamo-Nyasaka, Wanguna cha Nyamanoro-Mkudi, Lwidima cha Kirumba na Umoja wa Matumaini cha Ibungilo-Mchongomani.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.