• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WITO WATOLEWA KWA WANANCHI KUJITOKEZA KATIKA KLINIKI YA ARDHI

Posted on: August 26th, 2024

Wananchi wa Manispaa ya wametakiwa kujitokeza kwenye mikutano ya kliniki za ardhi katika kata zao kw aajili ya kusikilizwa na kutatuliwa kero, migogoro na changamoto za ardhi walizonazo


Hayo yamesemwa na kamishna wa ardhi msaidizi mkoa wa Mwanza Bi Happiness Mtutwa wakati wa muendelezo wa kliniki ya ardhi katika viwanja vya shule ya sekondari Lumala kata ya Ilemela inayofanywa na idara ya ardhi manispaa ya Ilemela kwa ajili ya utatuzi wa changamoto mbalimbali za ardhi ambapo amewasisitiza wananchi kutumia fursa ya uwepo wa kliniki na kujitokeza kuwasilisha changamoto zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi


‘.. Nitoe wito na rai kwa wananchi wanaposikia matangazo ya uwepo wa kliniki hizi kujitokeza kuwasilisha kero zao, Sisi kama mkoa tunatamani kero na changamoto zote za ardhi za mkoa wa Mwanza ziweze kuisha,’ Alisema


Aidha Kamishna msaidizi Bi Mtutwa ameipongeza manispaa ya Ilemela na uongozi wake kwa kuweka utaratibu wa kuwafikia wananchi katika maeneo yao kwani mkoa huo una halmashauri nyingi lakini ni Ilemela pekee inayofanya vizuri katika mkoa huo kwa kuweka utaratibu mzuri wa kuzifikia kata zote na kwamba ofisi ya ardhi mkoa wa Mwanza itaendelea kutoa ushirikiano ili kuhakikisha malalamiko yote ya wananchi yanafanyiwa kazi na kutatuliwa


Kwa upande wake mkuu wa idara ya ardhi manispaa ya Ilemela Bi Grace Masawe amesema kuwa idara yake imeweka mpango wa kuzifikia kata zote za manispaa hiyo kwa kila siku ya ijumaa ya wiki ili kusikiliza kero, changamoto, malalamiko, ushauri, elimu ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi, kutoa elimu ya kodi za ardhi na masuala yote yanayohusu ardhi ikiwemo matumizi ya ardhi, upimaji, ujenzi ili kuwaondolea wananchi usumbufu na gharama za  kuwafuata wataalam katika ofisi zao


Charles Steven ambae ni mkazi wa mtaa wa Lumala kata ya Ilemela ambae kero yake kero yake ya umikilishwaji imeweza kutatuliwa pamoja na kushukuru kwa ushauri aliopewa na wataalam amewahimiza wananchi wenzake kutopuuza matangazo yanapotolewa ya uwepo wa wataalam katika maeneo yao katika kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.