• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

Posted on: June 26th, 2025

Umoja wa wenza wa viongozi unaojulikana kama ladies of new millenium group ukiongozwa na Bi. Tunu Pinda ambaye ni mwenyekiti wa umoja huo wamepongeza juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini

 

Wametoa pongezi hizo tarehe 25 Juni, 2025 walipotembelea shule ya sekondari ya Igogwe iliyopo kata ya Bugogwa ndani ya Manispaa ya Ilemela shule ambayo imejengwa kupitia fedha za mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF).

 

Aidha wenza hao walibainisha lengo la ziara yao kuwa ni kujenga ufahamu. na uelewa kuhusu maendeleo na mafanikio ya utekelezaji wa miradi inayotekelezwa kupitia mpango wa kunusuru kaya za walengwa (TASAF)

 

Pamoja na ukaguzi wa mradi huo wa shule wenza hao wa viongozi walipata fursa ya kukagua bidhaa za wajasiriamali ambao wapo katika mpango na kusema kuwa wamevutiwa na namna mradi wa TASAF ulivyoweza kuwainua kiuchumi na kuwataka wanufaika hao waendelee na juhudi ya kuzalisha bidhaa zenye ubora na kuziongezea thamani.

 

Kwa niaba ya mkurugenzi wa TASAF Taifa, Bw. Japhet Boaz ameupongeza uongozi wa manispaa ya Ilemela kwa usimamizi mzuri wa miradi ya TASAF hususan ujenzi wa shule ya Igogwe  ambao unawanufaisha wanafunzi zaidi ya 700 na  kati yao wanafunzi 73 wanahudumiwa na mradi wa TASAF kwa kuwaendeleza kielimu huku akiahidi  kuendelea kuwashika mkono katika mradi mwingine ukiwemo ujenzi wa bwalo la chakula.

 

Kaimu mkuu wa shule Mwl. Uswege Asagwile Mwakalobo akisoma taarifa ya mradi huo amesema kuwa ufaulu wa wanafunzi umeongezeka kwa kiwango cha juu na katika matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha pili kwa mwaka uliopita Igogwe imetoa mwanafunzi bora kiwilaya.

 

Sambamba na ukaguzi wa miradi hiyo ya TASAF, umoja huo wa wake wa viongozi  walitumia fursa hiyo kuhamasisha matumizi ya  nishati safi kwa kutoa msaada wa mitungi 25 ya gesi kwa wanawake na wanaume wanaojishughulisha na shughuli za kupika vyakula ( baba na mama lishe)  wanaotoka kwenye vikundi  mbali mbali vya wajasiriamali ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan juu ya matumizi ya nishati safi.

 

Akizungumza kwa niaba ya wanufaika wa nishati hiyo ya gesi ya kupikia Bi. Mwanaidi Ramadhani mkazi wa kata ya Igogwe wamewashukuru kwa ujio wao na kwa kuwajali wajasiriamali wadogo kwani kupitia nishati hiyo wataepukana na changamoto ya moshi unaotokana na kuni za kupikia pamoja kurahisisha shughuli za jikoni.

 

 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • CHANJO YA KUKU KUWANUFAISHA WAFUGAJI

    July 09, 2025
  • PROF NAGU AMEWATAKA WATUMISHI KADA YA AFYA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    July 08, 2025
  • WALIMU WA AJIRA MPYA WAMETAKIWA KUWEKA MIPANGO SAHIHI YA KAZI

    July 04, 2025
  • ELIMU YA FEDHA KUWAONGEZEA UFANISI WANUFAIKA WA TASAF

    July 03, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.