• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAZAZI/WALEZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WALIMU KATIKA MALEZI

Posted on: July 15th, 2024

Mhe Said Mtanda mkuu wa mkoa wa Mwanza, ametoa rai kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanashirikiana na walimu katika malezi ya wanafunzi kwani wanafunzi hutumia muda mwingi wakiwa shuleni kuliko nyumbani.


Rai hiyo aliitoa wakati wa hafla ya makabidhiano ya ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa iliyofanyika katika shule ya sekondari Lumala iliyopo kata ya Ilemela siku ya Ijumaa tarehe 12 Julai 2024


Aliongeza kusema kuwa wazazi wanapaswa kuelewa kuwa asilimia 80 ya muda wa wanafunzi wanaishi na walimu, kwa hiyo malezi yao yanatoka kwa walimu hivyo ni muhimu walimu wakapewa ushirikiano ili kuweza kuwa na kizazi chenye nidhamu na maadili sambamba na kuwataka wazazi kuwa karibu na wao na kufuatilia mienendo yao ya kila siku.


“Kumeibuka wimbi kubwa la wazazi kuandamana jambo ambalo sio sawa, pale mwalimu anapotoa adhabu kwa mujibu wa sheria kwa nia ya kumuonya mwanafunzi, mnapaswa kushirikiana na walimu katika malezi”alisema Mhe Mtanda.


Aidha aliwakumbusha walimu kuhakikisha kuwa adhabu watakazotoa kwa wanafunzi zizingatie sheria za nchi na si vinginevyo.Huku akiwataka walimu kuendelea kuwa watulivu na kushirikiana na serikali kwani serikali inaendelea kufanya mambo mazuri kwasababu hakuna elimu bora bila walimu bora, alisema.


Pamoja na hayo aliwataka wanafunzi kuhakikisha wanaitumia fursa ya uwepo wa mazingira bora ya kujifunzia kwa kusoma kwa juhudi ,maarifa na bidii ili kuweza kufikia azma na malengo yao.


Wanafunzi wa shule ya sekondari Lumala kwa niaba ya wanafunzi wa manispaa ya Ilemela wameahidi kuwatii walimu na wazazi ikiwa ni Pamoja na kusoma kwa bidii kutimiza ndoto zao.




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.