• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

"Wazazi msiwafiche watoto wenye ulemavu"-Ngasa

Posted on: December 14th, 2021

Na PASCHALIA GEORGE, AFISA HABARI ILEMELA

Mashindano ya kombe maalum la watoto wenye ulemavu wa akili ‘’Special Olympics’’ambayo yalihusisha mchezo wa riadha,mpira wa mikono na mpira wa miguu yamefungwa leo kimkoa ambapo wilaya zote nane za mkoa wa Mwanza zimeshiriki huku Halmashauri ya manispaa ya Ilemela ikiibuka kidedea katika mchezo wa mpira wa miguu bila kupoteza mechi ya michezo yote.

Akizungumza wakati wa kufunga michezo hiyo mgeni rasmi katika mashindano hayo ambaye pia ni Afisa michezo mkoa wa Mwanza James William Ngasa amewataka wazazi na walezi wenye watoto wenye mahitaji maalum wasiwafiche ndani kwa kuona aibu au kuhisi imani potovu juu ya ulemavu wowote ambao mtoto anao.

“Watoto wote wana haki sawa,jamii inapaswa kuelewa hata wenye ulemavu wana haki pia.Wazazi msiwafiche watoto wenye ulemavu watoeni washiriki na wenzao michezo ni tiba ya akili wanapojumuika na kubadili mazingira mara kwa mara akili zao huchangamka na wakati mwingine wasio na ulemavu mkali wa akili hupona kabisa na kumuwezesha mtoto kukua vizuri na kuendelea na majukumu kama watoto wengine wasio na ulemavu.”amesema Ngasa

Nae afisa elimu maalum wa manispaa ya Ilemela Sarah Ulimboka amesema tunafahamu changamoto nyingi walizonazo watoto wenye ulemavu hivyo sisi jamii tunao wajibu wa kuwapenda na kuwajali watoto hawa kwa kuwapatia mahitaji yao ya msingi kwa wakati.

“Natoa shukrani za dhati kwa uongozi wa manispaa ya Ilemela kwa kuendelea kujali uwepo wa watoto hawa kwa kutoa misaada mbalimbali na kualika wadau kuwasaidia mahitaji katika makuzi yao,tunashukuru walimu wanaowalea watoto wenye ulemavu mbalimbali pamoja na changamoto zilizopo bado tunaweza kusimama imara kuwafundisha na kuwalinda.”amesema Ulimboka.

Mashindano haya maalum yamemalizika kwa ngazi za wilaya na sasa timu ya mkoa wa Mwanza inayoundwa na jumla ya wachezaji 50 kwa michezo mitatu mpira wa mikono,riadha na mpira wa miguu ishapatikana itakayocheza ngazi ya taifa.Kati ya wachezaji hao 50 wachezaji 10 wametoka timu za manispaa ya Ilemela.Michezo hiyo kitaifa inatarajiwa kuanza kuchezwa hivi karibuni mkoani Mwanza .


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.