• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DKT BITEKO AZINDUA MRADI WA PANDEMIC FUND, AELEKEZA USIMAMIZI MZURI

Posted on: October 15th, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji wa wizara ya Afya na wadau wa afya nchini kusimamia utekelezaji wa afua na misingi iliyopangwa kwenye andiko la mradi pandemic fund ikienda sambamba na usimamizi mzuri wa fedha ili kuimarisha uwezo wa nchi katika kukabiliana na majanga ya kiafya ili kufanikisha malengo yaliyopangwa.

 

Ametoa agizo hilo leo tarehe 15 Oktoba, 2025 Mkoani Mwanza wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa 'Pandemic Fund' unaolenga kuimarisha uwezo wa kuzuia, kujitayarisha, kugundua na kukabiliana na magonjwa ya mlipuko na dharura nyingine za afya ya jamii nchini ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka 3 kuanzia aprili 2025 hadi Machi 2028.

 

Katika kufanikisha hayo Dkt. Biteko amezielekeza sekta zote zinazohusika kusimamia kikamilifu shughuli zake zote ili kuleta matokeo chanya yaliyokusudiwa na haitarajiwi kuwe na mipango mingine huku akiwahakikishia ushirikiano kutoka serikalini ili mradi huu uweze kukamilika na kutoa matokeo chanya.

 

Nae Dkt Grace Magembe Mganga Mkuu wa Serikali  amesema kiasi cha dola 138.7 za kimarekani zimewekezwa katika mradi huu pandemic fund, fedha ambazo zimechangiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na mashirika ya kimataifa yakiwemo WHO,UNICEF na FAO, ambazo zitatekelezwa na wizara za afya, mifugo na asasi mbalimbali za afya zikilenga kuimarisha udhibiti katika maeneo yenye muingiliano, kuimarisha mifumo ya upatikanaji wa maji safi na salama, kuimarisha upatikanaji wa mawasiliano, sambamba na kuimarisha maabara za vipimo.

 

Mradi huu utashughulikia maeneo matatu ya kipaumbele kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni za afya za kimataifa za mwaka 2005. Maeneo hayo ni kuimarisha mifumo katika Kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na dharura za kiafya; kutoa tahadhari za mapema na mifumo ya ufuatiliaji wa magonjwa; mifumo ya maabara kwa sekta za binadamu na wanyama; Kuimarisha rasilimali watu na uwezo wa wafanyakazi katika sekta ya afya na wanyama




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.