• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

" WAZAZI KILA MMOJA ANAWAJIBIKA KUFUATILIA AFYA YA MTOTO " - BI. PILI

Posted on: December 20th, 2024

Afisa lishe wa Manispaa ya Ilemela Bi.Pili Khasim amewaasa kina mama ambao ndio walezi wakuu wa watoto na jamii kwa ujumla kufuatiilia mienendo ya afya za watoto wao kwa kuzingatia kuwa uimara wa afya nzuri katika ukuaji wa watoto ndio unaozalisha vijana na viongozi imara ndani ya jamii na taifa kwa ujumla.

“..Tuungane katika kampeni hii ya kitaifa ya mwezi wa afya na lishe ya mtoto katika kumpatia mtoto huduma zote muhimu za afya.Wazazi na walezi kila mmoja anawajibika kufuatilia afya ya mwanae ..”   

Akizungumza na kina mama waliotokeza kupata huduma mbalimbali za kliniki katika zahanati ya Nyerere iliyopo kata ya Buswelu ndani ya Manispaa ya Ilemela Bi.Pili ametaja huduma zinazotolewa ni pamoja na utoaji wa matone ya Vitamin A na dawa za minyoo kwa watoto wenye umri kuanzia mwaka mmoja hadi miaka minne na miezi 11 ,matone ya Vitamin A pekee kwa watoto kuanzia miezi 6 hadi miezi 11 sambamba na tathmini ya hali ya lishe kwa watoto wenye umri kuanzia miezi 6 hadi 59.

Ameongeza kuwa huduma zote zinatolewa bure katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya na kampeni hiyo inafanyika kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia tarehe 01-31 ,Desemba 2024 huku akibainisha kuwa Halmashauri imekusudia kuwafikia jumla ya watoto 66,486 ambapo hadi kufikia jana tarehe 19,Desemba 2024 watoto waliofikiwa ni 58,980 sawa na asilimia 88.7 ya lengo.

“..tunazidi kuwahamasisha kina mama na kina baba kuwaleta watoto wao kupata huduma hizi za afya,na kwale ambao hawajakamilisha chanjo zingine waje ,tupo hapa kuwahudumia..” Amesema Jenifer Stephano Muuguzi katika zahanati ya Nyerere

Jamila Khalid ni mmoja wa kina mama waliohudhuria kliniki hapo yeye anashukuru Halmashauri kwa kuendelea kutoa elimu juu ya afya ya mtoto na lishe huku akisisitiza elimu hiyo iende mbali zaidi hasa maeneo ya nje ya mji.

“...Kuna watu maeneo mengine tangu mama anashika ujauzito mpaka anajifungua hajawahi kufika kliniki,kwa mtu wa namna hiyo haya mambo ya matone sijui kama ataelewa.Mfike na huko nje nje jamii nzima tuwe na uelewa wa pamoja..”

Kampeni ya kitaifa ya mwezi wa afya ya mtoto na lishe kwa mwaka huu 2024 imepambwa na kauli mbiu isemayo matone ya vitamini A ni bora kwa mtoto wetu.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.