• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAWEZESHAJI TASAF WATAKIWA KUWA WAADILIFU NA WANYEYEKEVU KWA WALENGWA

Posted on: February 10th, 2023

Timu ya wawezeshaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF Manispaa  ya Ilemela  imeaswa kutekeleza majukumu yake kwa uadilifu mkubwa na unyenyekevu na kuweka uzalendo mbele ili walengwa wa mpango huo waweze kupata huduma bora na sahihi.


Rai hiyo imetolewa na mkuu wa divisheni ya  maendeleo ya jamii manispaa ya Ilemela Ndugu Sitta Singibala akimuwakilisha mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary wakati wa kikao kazi cha kusikiliza changamoto na kujengeana uwezo wawezeshaji hao.

“Shughuli hii inataka muhusika awe muadilifu kiasi cha kutosha kwa sababu tunaenda kufanya zoezi linalohusiana na fedha na upo mwenyewe, tukumbuke pesa inataka uadilifu mkubwa”, Amesema


Aidha Ndugu Singibala akasisitiza wawezeshaji kuwa wasikivu na wanyenyekevu kwa walengwa wataofuata huduma  ikiwemo kutatua changamoto watakazoziwasilisha pamoja na kutumia lugha rahisi itakayoeleweka kwa haraka ili mpango huo uweze kuwa na tija iliyokusudiwa

Kwa upande wake mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF Manispaa ya Ilemela Bwana Leonard Robert amewataka wawezeshaji hao kuhakikisha wanaweka jitihada katika kupunguza idadi ya walengwa wanaopokea fedha taslimu mkononi badala yake waweze kutumia benki, simu au wakala kutoka idadi ya watu 1577 kwa sasa kufikia angalau watu 500 sambamba na kuhakiki majina halisi ya walengwa na yale yaliyo katika namba za simu wanazotumia kupokelea fedha

Davis Ulotu ni miongoni mwa wawezeshaji waliohudhuria kikao hicho ambapo ameshauri wawezeshaji wanaohudumia mtaa wa Bezi kata ya Kayenze eneo la kisiwa kutangulia eneo hilo siku moja kabla tofauti na wawezeshaji wa maeneo mengine ili kuongeza ufanisi wa kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwa eneo hilo linakabiliwa na changamoto ya usafiri


Kiasi cha shilingi Milioni 277.59 kinatarajiwa kutolewa kwa kaya 5682 ikiwa ni malipo kwa ajili ya kipindi cha Mwezi Novemba na Disemba awamu ya 12.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.