• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATENDAJI WAMETAKIWA KUSIMAMIA BEI ELEKEZI YA SUKARI

Posted on: February 28th, 2024

Watendaji wa mitaa ya wilaya ya Ilemela wametakiwa kusimamia bei elekezi ya uuzwaji wa sukari iliyotolewa na serikali ili kuzuia upandishaji holela wa bei ya bidhaa hiyo kutoka kwa wafanya biashara wasio waaminifu na wanaoificha ili isipatikane kwa urahisi kwa wananchi


Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Elias Masala wakati wa ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi katika viwanja vya ofisi ya kata ya Buswelu ambapo amewataka watendaji kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wafanya biashara wote watakaobainika kupandisha bei ya sukari kinyume na maelekezo ya bei elekezi ya serikali.


‘.. Serikali imetoa bei dira na bei dira imetofautiana mkoa kwa mkoa, Kwa mkoa wa Mwanza sukari kilo inapaswa iuzwe shilingi elfu mbili mia sita hamsini mpaka elfu tatu kwa bei ya rejareja, Kwa bei jumla inapaswa kuuzwa shilingi elfu mbili mia nane mpaka elfu tatu na mia mbili, Wako watu wanatumia nafasi hiyo kuendelea kujinufaisha kwa kuuza bei ya juu ambayo ni kinyume ..’ Alisema


Aidha Mhe Masala mbali na kubainisha shughuli za maendeleo zilizofanywa na serikali ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hasan amewatoa hofu wananchi wa Ilemela juu ya upatikanaji wa bidhaa hiyo na kwamba serikali kupitia wizara ya kilimo imekwisha toa kibali kwa wafanyabiashara wakubwa kuagiza sukari kutoka nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu pamoja na kuwataka maafisa biashara kufuta leseni za biashara kwa wale watakaobainika kupandisha bei kiholela



Paul John na Gilbert Michael ni wananchi wa kata ya Buswelu ambao kwa nyakati tofauti licha ya malalamiko ya bei ya sukari pia wameomba kuharakishwa kwa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Buswelu senta kupitia Isenga mpaka CocaCola na manispaa kuweka mikakati ya muda mrefu na mfupi katika kuboresha sekta ya elimu


Akihitimisha diwani wa kata ya Buswelu Mhe Sara Ngh’wani amemshukuru mkuu wa wilaya hiyo kwa utatuzi wa kero za wananchi wake pamoja na kuipongeza serikali kwa fedha za miradi ya maendeleo zilizoletwa ndani ya kata yake huku akiwaomba wananchi kuendelea kushirikiana katika maendeleo



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.