• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATENDAJI WA KATA WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUHAMASISHA LISHE

Posted on: July 19th, 2023

Watendaji wa kata na mitaa wa Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha masuala ya lishe kwenye kata na mitaa yao kwa kuhakikisha wanawahimiza wahudumu ngazi ya jamii kuwaibua watoto waliopo mitaani na kuwapeleka katika vituo vya huduma za afya ili kupata huduma bora na kuepusha vifo vya watoto.


Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela Bi Mariam Msengi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Mhe. Hassan Masala katika kikao cha tathmini ya lishe wilaya ya Ilemela kilichoketi tarehe 19 Julai 2023 kwa lengo la kujadili taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

“Niwatake watendaji wa kata kuhakikisha mnakuwa mstari wa mbele katika suala la lishe ili kuhakikisha tunakuwa na jamii inayozingatia lishe bora” .Aliongeza Bi Msengi.


Aidha kupitia kikao hicho wajumbe walipitia taarifa ya kadi alama ya lishe ya mwaka 2022/2023 ambayo ilionekana kupanda ukilinganisha na mwaka 2021/2022 ambapo viashiria vingi vikiwa na asilimia kati ya 70-100 na hivyo kuwa katika rangi za kijani na njano ambapo rangi ya kijani inawakilisha vizuri na njano ikiwakilisha wastani iliyowasilishwa na Afisa Lishe, Bi Pili

Pamoja na mafanikio hayo yaliyobainishwa katika kadi alama ya lishe zipo changamoto mbalimbali zilizobainishwa ikiwemo suala la ushiriki mdogo wa wanaume katika mafunzo ya jiko darasa hivyo ikatolewa rai kwa watendaji wa kata na mitaa kuwaelimisha wanaume juu ya umuhimu wao katika kushiriki kwenye mafunzo hayo mara yanapotolewa katika mitaa yao ili kuweza kuimarisha afya za watoto kwani wanaume wengi ndio wanaotoa fedha za manunuzi ya chakula.


Kadhalika wajumbe walipata fursa ya kujadili juu ya zoezi la siku ya afya na lishe ya mtaa (SALIKI) ambayo inalenga kuimarisha mifumo ya kijamii ya utoaji na usambazaji wa huduma endelevu za afya na lishe ya mama, mtoto na jamii kwa ujumla.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.