• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATENDAJI WA KATA NA MITAA ILEMELA WAJEGEWA UWEZO MFUMO WA TAUSI

Posted on: July 25th, 2023

Manispaa ya Ilemela kupitia divisheni ya viwanda, biashara na uwekezaji inaendelea kuwajengea uwezo wataalam wake wa ndani katika kuufahamu na kuleta uelewa wa pamoja juu ya mfumo wa kidijitali wa kuomba leseni za biashara kupitia mtandao (TAUSI).


Kwa kuzingatia nafasi na ukaribu wa watendaji wote wa kata na mitaa walionao kwa wananchi ambao ndio wafanyabiashara wenyewe leo tarehe 25 Julai,2023 Maafisa biashara wa Manispaa wametoa mafunzo kwa watendaji hao kuhusu matumizi bora ya mfumo wa TAUSI .


Wafanyabiashara wote wanapaswa kutumia mfumo huo wa kidijitali katika kufanya maombi ya leseni. Amesema Hashim Kimwaga ambae ni afisa biashara huku akizitaja  baadhi ya faida ya mfumo wa TAUSI, kuwa ni pamoja na kuokoa muda wa mfanyabiashara kwani kwa sasa mfanyabiashara anaomba leseni popote pale alipo, inaondoa mianya ya rushwa kwani mfanyabiashara anaomba leseni mtandaoni.


Tangu mwezi Aprili 2023 Manispaa ya Ilemela ilipoanza kutumia mfumo huo wa TAUSI hadi sasa jumla ya leseni 2399 zimetolewa sawa na makusanyo ya shilingi millioni 279.87


Mecktrida Lyimo ni mtendaji wa kata ya Nyamhongolo mmoja wa watendaji waliopata mafunzo leo yeye anatoa shukrani kwa uongozi wa Manispaa kwa kutoa mafunzo hayo kwani wananchi wamekuwa wakifika ofisi za kata na mitaa kupata huduma mbalimbali na kuuliza maswali ya uelewa wa mambo kama hayo.


" Sasa nauelewa mfumo vizuri hivyo hata mwananchi akitaka msaada au uelewa zaidi naweza kumsaidia.Nashukuru kwa uwezeshwaji huu naomba tuendelee kupatiwa uelewa wa pamoja wa masuala mbalimbali ili mambo mengine yaishie ofisi za kata na mitaa kama haina ulazima wa kufika makao makuu ya ofisi za Manispaa."


Ili kujiunga na kufanya maombi hayo ya leseni pamoja na kulipia kwa urahisi tembelea tovuti ya www.tausi.tamisemi.go.tz na ufuate maelekezo.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.