• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATAALAM WA ARDHI WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Posted on: December 16th, 2020

Wataalamu wa ardhi wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na miongozo ya utendaji wa kazi zao za kuhudumia wananchi ili  kuwaletea maendeleo wananchi wa Ilemela

Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ndugu Zakaria Kera wakati wa kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya manispaa ya Ilemela ambapo amewaasa watumishi wa idara ya ardhi na vitengo vyake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa jamii kwa kuzingatia weledi na ufanisi uliotukuka kwani  ardhi ni mali ya umma.

“Ardhi ni mali ya wananchi, Na sisi ni watumishi wao ni wajibu wetu kuwahudumia kwa viwango vya ubora wa juu kabisa katika kujiepusha na migogoro  isiyokuwa ya lazima katika mambo mbalimbali yahusuyo ardhi.Wote tunatambua kasi ya serikali yetu ya sasa kufanya kazi kwa bidi na matokeo chanya hakukwepeki.”amesema ndugu Kera.


Aidha ndugu Kera amewataka watumishi hao kuheshimu maelekezo yanayotolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwani wao sasa ni watumishi wa wizara ya ardhi moja kwa moja lakini kwa kuwa wanafanya shughuli zao ndani ya manispaa ya Ilemela ni budi kuendelea kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi pindi wanapohitajika kufanya hivyo .

Nae Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela ndugu John Wanga ameushukuru uongozi wa wizara ya ardhi kupitia ndugu Kera kwa mada mbalimbali za mafundisho juu ya uwajibikaji bora kwa watumishi wa ardhi.

“Najua mafundisho haya yatakuwa chachu katika utendaji wenu,kuepuka migogoro isiyo ya lazima ni jadi yetu toka tukiwa pamoja kwa karibu zaidi.Naamini wana Ilemela wanajivunia kazi yenu nzuri mnayoendelea nayo.Msilewe sifa lazima ubunifu katika kazi uendelee ili muendelee kuzaa matunda bora zaidi kwa manispaa yetu.”amesema ndugu Wanga.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.