• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WASANII ILEMELA WASISITIZWA MAADILI KATIKA KAZI ZAO

Posted on: October 4th, 2024

Wasanii wa Ilemela wamesisitizwa kuandaa kazi zenye kuzingatia maadili, uzalendo, uelimishaji na ukosoaji kwa jamii katika kazi zao za sanaa wanazozifanya.

Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe. Dkt. Angeline Mabula wakati wa kikao chake na wasanii wanaofanya kazi zao za sanaa mbalimbali kama uigizaji,muziki,ngoma za asili,sarakasi na dansi ndani ya Wilaya ya Ilemela kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za CCM kata ya Buswelu.

Mhe.Mabula amefafanua kuwa kazi kubwa ya wasanii ni kuelimisha jamii dhidi ya mambo yasiyofaa tofauti na wasanii wengi wa nyakati hizi ambao wamekuwa wakiandaa kazi zisizoishi muda mrefu .

".. Sanaa mnayoifanya ina mafunzo gani katika jamii, zipo nyimbo za kina Baraka Mwinshehe na wengine zilikuwa zinatoa mafunzo ambayo mtu akisikiliza hata leo anayapata, Unaweza ukawa mchekeshaji lakini katika kuchekesha kuwe na ujumbe wenye maadili, unaweza kuwa mtunzi wa nyimbo lakini nyimbo unazoimba ziisaidie jamii .." Alisema

Aidha Dkt.Mabula amewaasa wasanii hao kuwa wamoja, kutambulika kisheria na kutumia fursa zilizopo za mikopo ya halmashauri kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi sanjari na kujitokeza katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.

Mwashum Ismail ni mwenyekiti wa chama cha wasanii wilaya ya Ilemela yeye amemshukuru mbunge huyo kwa ushirikiano anaoutoa kwa wasanii hao pamoja na namna anavyoshiriki katika kutatua kero mbalimbali zinazowakabili.

Akihitimisha kikao hicho diwani wa viti maalum kata ya Buswelu Bi.Winfrida Gyunda amewapongeza wasanii hao kwa kazi nzuri wanazozifanya katika jamii na kuwataka  kuacha kulalamika na badala yake kutumia vipaji walivyonavyo kwa ubunifu zaidi kwa kushirikiana na serikali katika kujiletea maendeleo binafsi na jamii kwa ujumla.























Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.