• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI WATAKIWA KUTOKUJENGA KWENYE KINGO ZA MITO

Posted on: April 20th, 2017

WANANCHI WATAKIWA KUTOJENGA KWENYE KINGO ZA MITO


Kamati ya Ardhi na Mipangomiji ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imewataka wananchi wake kuacha ujenzi wa nyumba pamoja na uendeshaji wa shughuli za kibinaadamu katika maeneo ya kingo za mito.

Hayo yamesemwa  na mwenyekiti wa kamati ya mipango miji ya manispaa Mheshimiwa Alex Ngusa ambaye pia ni diwani wa kata ya Kirumba wakati wa ziara ya kamati yake  iliyolenga  kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika kipindi cha  robo ya tatu iliyojumuisha matengenezo ya sehemu korofi za barabara ya Nyafula-Igumamoyo yenye urefu wa kilomita 2.5, ukaguzi wa eneo la mradi wa mji wa makazi(Nyafula Satellite), mradi wa maji Sangabuye, mradi wa maji Igombe, matengenezo ya muda maalumu ya barabara ya Mihama yenye kilomita moja, ukaguzi wa kingo za mto Vijana Social wa Kirumba-Nyamanoro na daraja la Msumbiji.

Mheshimiwa Alex Ngusa ambae ndie Mwenyekiti wa kamati hiyo  amewataka wananchi kuzingatia sheria na taratibu za ardhi na ujenzi kwa kuacha kujenga nyumba  kwenye kingo za mito sambamba na kujishughulisha  na shughuli za kibinadamu ndani ya  maeneo ya hayo.

“Dhamira yetu si kuwakosesha wananchi makazi  shida ni wananchi kujenga maeneo ya kingo za mito tuwaombe waache kufanya hivyo kwani kunasababisha uharibifu wa miundombinu ya serikali kama hii barabara hapa na baadae watailaumu Serikali”, alisema.

Pamoja na hayo amewataka watendaji wa kata na mitaa kushirikiana na viongozi wa maeneo yao katika kupambana na vitendo vya uchimbaji mchanga katika maeneo yote kingo za mito hiyo ili kupambana na uharibifu wa mazingira.

Nae  afisa mipango miji wa manispaa hiyo ndugu Kennedy Chigulu amesema kuwa kwa kufuata ramani za miaka ya nyuma eneo hilo linaonesha kuwa wazi tofauti na sasa ambapo eneo  linaonesha kuvamiwa na wananchi kinyume na taratibu wa mipango miji

“Ukitazama ramani za miaka ya sabini zinaonesha kuna wananchi wamevamia maeneo ya kingo za mito, Tukiacha kufanya shughuli za kibinadamu maeneo ya mito athari hazitakuwepo kwa jamii”, Alisema.

Wakihitimisha Ziara hiyo, wajumbe wa kamati ya ardhi na mipangomiji wameiagiza idara ya mipango miji kukaa pamoja na viongozi wa maeneo ya mto Vijana Social Kirumba-Nyamanoro ili kupitia upya ramani za eneo hilo ili kuweza kudhibiti ujenzi holela wa makazi na uendeshaji wa shughuli za kibinadamu katika kingo za mto huo pamoja na kuchukua hatua za haraka kunusuru usambaaji hovyo wa maji katika kipindi cha mvua  kubwa.





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.