• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI WATAKIWA KUKITUNZA KIVUKO CHA MV ILEMELA

Posted on: April 21st, 2020

Wananchi wa wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza wametakiwa kukitunza na kukitumia vizuri kivuko cha MV Ilemela ili kiweze kudumu kwa muda mrefu na kuwakomboa kiuchumi.


Hayo yamesemwa na mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula wakati wa uzinduzi wa kivuko hicho katika eneo la mwalo wa Kayenze wilayani humo ambapo amewataka wananchi hao kuhakikisha wanakilinda kivuko hicho, wanakitunza na wanakitumia vizuri kwa shughuli za uzalishaji mali ili kiweze kuleta manufaa  kwa jamii na kuwainua kiuchumi badala ya kufanya uharibufu wa aina yoyote na kuiba vifaa vilivyomo ndani ya kivuko hicho.

‘.. Ndugu zangu tukitunze kivuko chetu, hii ni mali yetu, tukianza kuhujumu basi tujue tunajihujumu sisi wenyewe, lazima kila mmoja awe mlinzi wa mwenzie katika kuhakikisha kivuko hichi hakiharibiki  ...’ Alisema


Aidha Mhe Dkt Mabula alimshukuru Mhe Rais Dkt John Magufuli kwa kusikia kilio cha muda mrefu cha adha ya usafiri iliyokuwa ikiwakabiri wananchi wa kata ya Kayenze na kutoa fedha za ujenzi wa kivuko hicho, Sanjari na kuwataka wananchi wa Kayenze kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa Korona huku akiomba wataalamu wa afya kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa huo ndani ya Kivuko kabla ya kuanza kwa safari na mwisho wa safari.


Kwa upande wake mkurugenzi wa wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) Mhandisi  Japhet Maselle amesema kuwa kivuko hicho kitaanza safari zake rasmi kuanzia Aprili 19, 2020  ambapo wananchi watasafiri bure na baadae kuanzia Aprili 20, 2020 kila mwananchi atalazimika kulipa nauli ya shilingi elfu moja kwa kila safari atakayoifanya huku gharama za mizigo ikitegemea ukubwa na uzito wa mzigo wenyewe.


Nae mkazi wa Bezi Peter Masalu ameshukuru kwa kuzinduliwa kwa safari ya kwanza ya kivuko hicho na kuahidi kukitumia kivuko hicho kwa kujiongezea kipato kupitia biashara ya usafirishaji samaki.


Akihitimisha mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ilemela Ndugu Nelson Mesha amempongeza Rais Dkt Magufuli na mbunge wa Ilemela kwa kuendelea kutekeleza kwa vitendo Ilani ya uchaguzi ya CCM na kuwaomba wananchi kuendelea kuiunga mkono Serikali ya awamu tano katika shughuli mbalimbali za maendeleo.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.