• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAAFISA USAFIRISHAJI NA WAVUVI WAASWA KUTOTUMIKA VIBAYA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: September 11th, 2025

Katika kuhakikisha wananchi wanashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 katika hali ya  amani na utulivu msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ilemela, Ndg Herbert Bilia ameendelea kukutana na makundi mbalimbali yaliyopo ndani ya wilaya ya Ilemela ikiwa ni muendelezo wa kutoa hamasa ya uelewa juu ya uchaguzi na mambo ya muhimu ya  kuzingatia kuelekea uchaguzi mkuu.

 

Akifungua semina ya elimu ya mpiga kura kwa viongozi wa maafisa usafirishaji pamoja na wavuvi siku ya Alhamisi ya tarehe 11 Septemba 2025, Ndg. Bilia,amelitaka kundi hilo kuungana kama taifa moja kulinda amani ya nchi  ikiwa ni pamoja na kushiriki kampeni zinazoendelea kwa lengo la kusikiliza sera za wagombea ili kuweza kuchagua viongozi bora.

 

"Tumewaita hapa ili tuungane kama taifa moja kushiriki kampeni zinazoendelea kwa kusikiliza sera za wagombea lakini kuwaasa tusitumike katika vihatarishi vyovyote vya kuvuruga amani na utulivu wa nchi yetu kwani yapo maisha baada ya uchaguzi",amesema Ndg Bilia

 

Kwa upande wake Afisa uchaguzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Ndg. Shilinde Malyagili, amesema vijana wengi wamejiajiri katika sekta isiyo rasmi ambayo inachangia asilimia 50 ya pato la taifa hivyo wanatakiwa kutambua umuhimu wa kuchagua viongozi bora watakao waletea maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. 

 

Nao washiriki wa semina hiyo wamesema kuwa elimu waliyoipata imewajengea uelewa mkubwa wa kutambua umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Tarehe 29, ockoba 2025 

 

Wajibu wetu kama viongozi wa makundi haya ni kutunza amani na kupitia vikao vyetu kuwahimiza wanachama wetu kuhudhuria kampeni mbalimbali zinazoendelea ili kuweza kuchagua viongozi sahihi wanaoweza kutuletea maendeleo ikiwa ni pamoja na kujitokeza kupiga kura ifikapo tarehe 29 oktoba 2025, sisi maafisa usafirishaji na makundi mengine tusitumike vibaya kusababisha vurugu na uvunjifu wa amani", amesema Abdulrashid Sudi, katibu wa bodaboda kata ya shibula

 

 

 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MAAFISA USAFIRISHAJI NA WAVUVI WAASWA KUTOTUMIKA VIBAYA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 2025

    September 11, 2025
  • MAASKARI 121 WA JESHI LA AKIBA WAHITIMU MAFUNZO WAASWA KUVIISHI VIAPO VYA

    September 09, 2025
  • VIJANA WAMEHIMIZWA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YAO KUJIKWAMU KIUCHUMI

    September 05, 2025
  • MRADI WA KISIMA CHA MAJI SAFI KUWANUFAISHA WANANCHI ZAIDI YA 3160

    September 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.