• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI WAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUUNGA JITIHADA ZA SERIKALI

Posted on: September 5th, 2025

"Kwa kipekee niendelee kuwapongeza wananchi kwa kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za serikali juu ya haya ambayo tumeletewa katika maeneo yetu, serikali ya Tanzania , inaendelea kuonyesha mapenzi makubwa wananchi kwa kuwafikishia wananchi huduma mbalimbali katika maeneo yao"

 

Ni kauli ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ndg. Ismail Ali Ussi alipokuwa akiongea na wananchi wa kata ya Nyakato waliofika katika zahanati ya Nyakato siku ya tarehe 26 Agosti 2025,kushuhudia Mwenge wa Uhuru ikizindua wodi ya mama na mtoto.

 

Aidha Ndg. Ussi amefafanua kuwa mradi huu wa wodi ya mama na mtoto ni miongoni mwa miradi ambayo imenufaika kutokana na fedha za mapato ya ndani za manispaa ya Ilemela na haya yakiwa ni maelekezo ya serikali ya kutenga asilimia 60 ya makusanyo yanatokana na ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

 

"Jambo kubwa ambalo la kufurahisha ni kwamba wananchi mmeridhia kuyapokea maendeleo haya, wananchi mngekuwa hamjaridhia wodi hii isingekuwepo hivyo ni wajibu wenu wananchi kuendelea kuwapa ushirikiano madaktari kwani wana kazi ngumu katika taifa hili"alisema Ndugu Ussi

 

Akisoma taarifa ya mradi huu , mganga mkuu mfawidhi wa zahanati ya Nyakato Daktari Fredrick Mtiba amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa wodi hii kunaenda kupunguza vifo vya mama na mtoto sambamba na kupunguza msongamano katika Kituo cha Afya cha jirani cha Buzuruga ambapo idadi ya wanaojifungua ni wastani wa akina mama 600 hadi 700 kwa mwezi. 

 

Hadi kukamilika kwa ujenzi wa wodi hii shilingi Milioni 227.92 zimetumika kati ya fedha hizo shilingi milioni 24.92 ni nguvu za wananchi zilizotumika kuanzia hatua za maandalizi ya awali na ujenzi wa msingi 

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ELIMU YA LISHE YATOLEWA KW WATOA HUDUMA ZA AFYA ILEMELA

    September 15, 2025
  • MAAFISA USAFIRISHAJI NA WAVUVI WAASWA KUTOTUMIKA VIBAYA KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU 2025

    September 11, 2025
  • MAASKARI 121 WA JESHI LA AKIBA WAHITIMU MAFUNZO WAASWA KUVIISHI VIAPO VYA

    September 09, 2025
  • VIJANA WAMEHIMIZWA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YAO KUJIKWAMU KIUCHUMI

    September 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.