• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI WAKARIBISHWA KATIKA BANDA LA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA

Posted on: August 3rd, 2025

Wito umetolewa kwa wananchi wote kutembelea banda la manispaa ya Ilemela katika viwanja vya Nyamhongolo ambapo maonesho ya nanenane 2025 yanaendelea kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali, lakini pia kujipatia bidhaa zilizohifadhiwa katika njia salama zaidi.

 

Wito huo umetolewa na Mhe Amir Mkalipa, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela alipotembelea maonesho hayo na hususan banda la Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zinazoendelea 

 

"Tumeona kuna uwekezaji mkubwa umefanyika katika kilimo , kuchakata bidhaa za kilimo, kwenye ufugaji na bidhaa za ufugaji hivyo kila mmoja aje kujifunza kilimo bora cha kisasa ufugaji bora wa kisasa lakini namna bora ya kupata bidhaa ambazo zinawekwa katika mfumo wa kiafya zaidi", amesema Mhe Mkalipa

 

Amewataka pia wananchi kuja kujifunza namna bora ya kufuga kwa vizimba, kuchakata kuanika dagaa namna ya kuhifadhi samaki na dagaa ili zikae muda mrefu, 

 

Aidha Mhe  Mkalipa alipotembelea wakulima wa mboga mboga na mazao ya kilimo amewakumbusha pia kulima miche ya viungo ama spices kwa ajili ya afya lakini pia kibiashara

 

“Uanikaji wa dagaa katika vichanja unasaidia dagaa wasiwe na michanja pia wanakuwa katika hali ya usafi” ni kauli ya Pendo Edward Fikiri mfanya biashara wa dagaa wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela akitoa hamasa na elimu hiyo katika maonyesho ya Nane 2025

 

Revocatus ambae ni mtaalam wa kufuga samaki kwa njia ya vizimba ndani ya manispaa ya  Ilemela akielezea faida na umuhimu wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba amesema kuwa licha ya kuwa ufugaji kwa njia hii  unatoa ajira kwa vijana lakini pia ufugaji rahisi na unaweza kufanyika mahali popote.

 

Chini ya kauli mbiu isemayo "Chagua viongozi bora kwa maendeleo ya kilimo mifugo na uvuvi 2025 , maonesho ya nanenane kanda ya ziwa magharibi inayohusisha halmashauri za Mkoa wa Mwanza na Geita yanafanyika katika viwanja vya Nyamhongolo ndani ya wilaya ya Ilemela kuanzia tarehe 1 hadi 8 Agosti 2025

 


Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.