• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
      • Mikakati ya MSM
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha ukaguzi wa ndani
      • Kiengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uhusiano na TEHAMA
    • Kata
      • Sangabuye
      • Nyasaka
      • Buswelu
      • Nyamhongolo
      • Kayenze
      • Bugogwa
      • Shibula
      • Ilemela
      • Kahama
      • Kiseke
      • Pasiansi
      • Kawekamo
      • Ibungilo
      • Nyamanoro
      • Buzuruga
      • Mecco
      • Nyakato
      • Kirumba
      • Kitangiri
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Michezo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya wah. wabunge na madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • MipangoMiji na Mazingira
      • Uchumi Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Photos

Wananchi waaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu kuepuka Malaria

Posted on: April 25th, 2022

Wananchi wa Ilemela wameaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu na kuboresha usafi wa mazingira ili kuepuka mazalia ya mbu wanaoleta ugonjwa wa Malaria.

Akizungumza na wananchi wa Ilemela wakati wa maadhimisho ya siku ya Malaria duniani yaliyofanyika kiwilaya kituo cha Afya Karume Mratibu wa Malaria Manispaa ya Ilemela Evaristus Mganga amewaasa wanaIlemela kutumia vyandarua vyenye dawa kila wanapolala ili kujikinga na ugonjwa huo.

,, Wananchi tuachane na imani potofu za kusema vyandarua vyenye dawa ni sumu,vyandarua hivi ni salama kwa matumizi ya binadamu kuzuia ugonjwa wa Malaria na si kwa kufugia mifugo kama baadhi yenu mnavyofanya’’

Aidha ndugu Mganga amesema manispaa ya Ilemela inaendelea kupambana na ugonjwa wa Malaria kwa njia mbalimbali na kubainisha kuwa jumla ya vyandarua 54020 vyenye viatilifu tayari vimegawiwa kwa wanafunzi 54020 wa shule za msingi ndani ya manispaa sawa na asilimia 100 ya malengo waliojiwekea kwa mwezi Machi ,2022.

Mganga ameongeza kuwa zoezi la utoaji elimu kwa jamii juu ya usafi wa mazingira,kufanya unyunyuziaji wa mazalia ya mbu ili kuua viluwiluwi wanaoeneza Malaria sambamba na ugawaji wa dawa kinga kwa wanawake wajawazito kuzuia maambukizi ya Malaria vinaendelea.

Monika Kashinji ni mkazi wa Igombe anatoa shukrani kwa serikali kuendelea kuwakumbuka wananchi wasio na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa Malaria na magonjwa mengine .

‘’ Kwa kweli mi nashukuru sana na ninafurahi kuona serikali inatambua umuhimu wa kutoa elimu kwa sisi wananchi tusioelewa kuhusu mambo mbalimbali ya afya,elimu iendelee zaidi kwani hata mimi niliwahi kutumia chandarua chang kufugia kuku’’ amesema Monika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI- NAFASI YA MTENDAJI MTAA May 23, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MTENDAJI WA MTAA November 26, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 06, 2022
  • MWALIKO WA KOTESHENI -MAFUNDI UJENZI February 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MASALA 'Wapuuzeni wanaotaka mtoke maeneo rasmi ya biashara'

    May 06, 2022
  • Zaidi ya milioni 60 kuchochea miradi ya maendeleo jimbo la Ilemela

    May 02, 2022
  • Machinga Ilemela waaswa kutorejea maeneo hatarishi

    April 28, 2022
  • Wananchi waaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu kuepuka Malaria

    April 25, 2022
  • Angalia zote

Video

Tangazo la Zabuni Stendi ya Mpya Nyamhongolo
Video zaidi

Ukurasa wa Karibu

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Tovuti Kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Anuani ya Posta: 735 MWANZA

    Simu: + 255 736 200910

    Simu:

    Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa