• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wananchi waaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu kuepuka Malaria

Posted on: April 25th, 2022

Wananchi wa Ilemela wameaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu na kuboresha usafi wa mazingira ili kuepuka mazalia ya mbu wanaoleta ugonjwa wa Malaria.

Akizungumza na wananchi wa Ilemela wakati wa maadhimisho ya siku ya Malaria duniani yaliyofanyika kiwilaya kituo cha Afya Karume Mratibu wa Malaria Manispaa ya Ilemela Evaristus Mganga amewaasa wanaIlemela kutumia vyandarua vyenye dawa kila wanapolala ili kujikinga na ugonjwa huo.

,, Wananchi tuachane na imani potofu za kusema vyandarua vyenye dawa ni sumu,vyandarua hivi ni salama kwa matumizi ya binadamu kuzuia ugonjwa wa Malaria na si kwa kufugia mifugo kama baadhi yenu mnavyofanya’’

Aidha ndugu Mganga amesema manispaa ya Ilemela inaendelea kupambana na ugonjwa wa Malaria kwa njia mbalimbali na kubainisha kuwa jumla ya vyandarua 54020 vyenye viatilifu tayari vimegawiwa kwa wanafunzi 54020 wa shule za msingi ndani ya manispaa sawa na asilimia 100 ya malengo waliojiwekea kwa mwezi Machi ,2022.

Mganga ameongeza kuwa zoezi la utoaji elimu kwa jamii juu ya usafi wa mazingira,kufanya unyunyuziaji wa mazalia ya mbu ili kuua viluwiluwi wanaoeneza Malaria sambamba na ugawaji wa dawa kinga kwa wanawake wajawazito kuzuia maambukizi ya Malaria vinaendelea.

Monika Kashinji ni mkazi wa Igombe anatoa shukrani kwa serikali kuendelea kuwakumbuka wananchi wasio na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa Malaria na magonjwa mengine .

‘’ Kwa kweli mi nashukuru sana na ninafurahi kuona serikali inatambua umuhimu wa kutoa elimu kwa sisi wananchi tusioelewa kuhusu mambo mbalimbali ya afya,elimu iendelee zaidi kwani hata mimi niliwahi kutumia chandarua chang kufugia kuku’’ amesema Monika.

Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUKUMBUSHWA KULIPIA VIWANJA March 28, 2023
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022 SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI MANISPAA YA ILEMELA January 29, 2023
  • HATUA ZA KUFUATA KUKATA LESENI KUPITIA MFUMO WA TAUSI April 13, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA September 30, 2022
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MIKATABA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.49 YASAINIWA ILEMELA

    May 18, 2023
  • SERIKALI KUCHUKUA HATUA KUDHIBITI MMOMONYOKO WA MAADILI

    May 17, 2023
  • BILIONI 61.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO ILEMELA

    May 15, 2023
  • KAMATI YA LISHE ILEMELA YAHIMIZA UTOAJI ELIMU MASUALA YA LISHE NA UTOAJI CHAKULA MASHULENI

    May 04, 2023
  • Tazama zaidi

Video

TANGAZO LA MRADI WA UWEKEZAJI WA GREEN ROCKY CITY
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.