• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI WA MTAA WA LUKOBE KUONDOKANA NA ADHA YA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA AFYA

Posted on: April 23rd, 2018

Wananchi wa mtaa wa Lukobe katika kata ya Kahama iliyopo Manispaa ya Ilemela wanatarajia kuondokana na adha ya upatikanaji wa huduma ya afya mara baada ya ujenzi wa zahanati ya Lukobe kukamilika.

Kwa mujibu wa maelezo ya Mwenyekiti wa Mtaa Lukobe Ndugu Paulo Lameck amesema kuwa mara baada ya kukamilika kwa ujenzi huu,  wananchi wataondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kwa ajili ya kutafuta huduma ya afya.

“Wananchi wa lukobe wamekuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu wa takribani Kilomita 10 hadi 20 kwa ajili ya kutafuta huduma za afya”, Alisema ndugu Paulo

Nae Mtendaji wa Mtaa wa Lukobe Ndugu Egno Mayaka amesema kuwa, ujenzi  wa zahanati uliibuliwa na wananchi wenyewe  mara baada ya kuona wanapata tabu ya kusafiri umbali mrefu kwa ajili ya kufuata huduma ya afya mtaani hapo kwa kujenga msingi kwa kutumia nguvu zao ambao hadi kukamilika kwa msingi iliwagharimu kiasi cha Shilingi Milioni 7.4 za kitanzania.

Mtendaji wa Kata ameongeza kwa kusema kuwa ujenzi wa zahanati hiyo unafanyika kwa ushirikiano wa mfadhili kutoka Canada Ndugu Dawn Schaller ambae ni rafiki wa karibu wa mtaa huo , ambae amejenga boma la zahanati hiyo pamoja na kupiga plasta ambapo ujenzi huo hadi sasa umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 15.6 za kitanzania, na Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela nayo imechangia zoezi la upauaji wa zahanati hiyo na hadi sasa umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 13 za kitanzania.

Nae Mbunge wa Ilemela Mhe. Dr. Angeline Mabula akikagua maendeleo ya ujenzi wa zahanati hiyo amewashukuru wananchi na wadau wa  maendeleo waliofadhili ujenzi wa zahanati hiyo na kuahidi kuvuta maji pamoja  na kuongeza matofali kwa ajili ya ujenzi wa choo cha karibu na zahanati.

Hadi sasa ujenzi huu ambao umefikia hatua ya upauaji unatarajiwa kukamilika mwaka 2019, na hadi sasa gharama zilizotumika ni jumla ya fedha za kitanzania Shilingi Mil.36 ikiwa ni mchango wa Halmashauri, mfadhili na wananchi wa mtaa wa Lukobe.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.