• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI ILEMELA WATAKIWA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Posted on: April 22nd, 2020


Wananchi wanaoishi eneo la kando kando ya barabara ya kutoka mjimwema isamilo kuelekea big bites kilimahewa wametakiwa kuilinda, kuitunza pamoja na kuhakikisha wanawachukulia hatua waharibifu watakaojitokeza.


Rai hiyo imetolewa na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya mipango miji na mazingira katika halmashauri ya manispaa ya Ilemela Mhe Alex Ngusa wakati wa ziara ya kamati hiyo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa barabara hiyo na ile ya kutoka Bwiru wavulana sekondari kuelekea Bwiru ziwani ambapo amewapongeza wananchi kwa kuunga mkono jitihada za Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea wilayani humo.

Huku akiwataka wananchi kuhakikisha wanatunza miundombinu na kuwachukulia hatua wananchi wenye nia ovu ya kuhujumu kwa kuiba alama za barabarani zilizopo na kuiharibu kwa kuwaripoti katika ngazi za uongozi na madereva wanaotumia njia hiyo kutii na kuheshimu alama ziliwekwa


‘.. Kikubwa tuwaombe wananchi wahakikishe wanaitunza barabara na kuwachukulia hatua waharibifu na wezi wa alama za barabarani ..’ Alisema


Nae mjumbe wa kamati hiyo, Mhe Japhes Rwehumbiza, akatumia ziara hiyo kumtaka mkurugenzi kuwakumbusha wananchi wanaotumia masoko yaliyopo ndani ya wilaya hiyo kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Korona kwa kuhakikisha wana nawa mikono mara kwa mara, wanavaa barakoa kila wanapoingia sokoni na kupunguza msongamano ili kudhiti maambukizi zaidi ya ugonjwa huo huku mjumbe mwengine ambae pia ni diwani wa kata ya Pasiansi Mhe Rosemary Mayunga akimshukuru mkurugenzi wa manispaa kwa kukubali kutoa milioni moja na laki tano kama ishara ya kuunga mkono jitihada za wananchi katika kuifungua barabara ya kuelekea Bwiru ziwani.


Kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Ndugu Shukran Kyando mbali na kushukuru kwa pongezi zilizotolewa katika ofisi yake, ameahidi kuwa kupitia mamlaka ya barabara za nchi kavu TIRA atazifuatilia gari zinazofanya shughuli za usafirishaji katika barabara ya Isamilo mji mwema ili ziweze kufika mpaka mwisho wa barabara na kuleta tija kwa wananchi sanjari na kuwapongeza wananchi wa Bwiru kwa kuwa wazalendo katika gharama za ufunguzi wa barabara hiyo.





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.