• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI ILEMELA WATAKIWA KUIUNGA MKONO TIMU YA PAMBA JIJI

Posted on: August 7th, 2024

Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuiunga mkono timu ya mpira wa miguu ya Pamba Jiji ili iweze kufanya vizuri katika mashindano ya ligi kuu ya Tanzania bara.

Hayo yamesemwa na mwakilishi wa mkuu wa wilaya ya Ilemela ambae pia ni Katibu tawala wa wilaya hiyo Wakili Adv. Mariam Abubakar Msengi wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa tawi la timu hiyo katika viwanja vya stendi ya daladala Pasiansi ambapo akawataka kuhakikisha wanajitoa kwa hali na mali kuunga mkono harakati zote zitakazochangia timu hiyo kufanya vizuri .

'..  Uzinduzi wa tawi hili uende sambamba na uungwaji mkono kwa timu yetu, hii ndio timu ya wana Ilemela, hii ndio timu ya kanda ya ziwa, hii ndio timu yetu watu wa Mwanza ..' Alisema

Aidha Wakili Msengi akamshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan kwa juhudi zake za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na mpango wake wa ukarabati wa uwanja wa mpira wa miguu wa CCM Kirumba kwa ajili ya matumizi ya mashindano ya AFCON na ujenzi wa kituo kipya cha michezo kata ya Buswelu .


Kwa upande wake afisa michezo Jiji la Mwanza ambae pia ni mjumbe wa Kamati ya   uhamasishaji  Ndugu Mohamed Bitegeko akafafanua kuwa timu ya Pamba Jiji inaendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi kununua jezi kwa thamani ya shilingi elfu thelathini na ununuzi wa tiketi kwa madaraja tofauti tofauti ili kuisaidia timu hiyo kiuchumi na kuleta hamasa kwa wananchi ili kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali .

Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohamed Wayayu akaongeza kuwa manispaa yake itaendelea kushirikiana na uongozi wa timu hiyo ili kuisaidia kufikia malengo yake pamoja na kuahidi kununua tiketi kwa ajili ya madiwani na watumishi wa manispaa ili waweze kushiriki sherehe za siku ya timu ya mpira wa miguu ya Pamba Agosti 10, mwaka huu

Uzinduzi wa tawi hilo ulienda sambamba na ukaguzi wa kikosi cha timu ya mpira wa miguu ya  walimu wanaume itakayoshiriki mashindano ya  shirikisho la michezo la watumishi wa Serikali za mitaa (SHIMISEMITA) .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.