• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI ILEMELA WASHAURIWA KUTUMIA FURSA YA UWEPO WA MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA

Posted on: June 18th, 2024

Wananchi wa wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza wameshauriwa kutumia fursa ya uwepo wa madaktari bingwa wanaotoa huduma za matibabu na ushauri wa kibingwa dhidi ya magonjwa mbalimbali kwa kujitokeza na kupatiwa matibabu ya magonjwa yanayowakabili.


Rai hiyo imetolewa na mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Ilemela Dkt. Mateso Mayunga wakati wa zoezi la utoaji wa huduma kwa wananchi waliojitokeza kupata matibabu na ushauri wa kitaalam kutoka kwa madktari hao.

Dkt. Mateso ameongeza kuwa amepokea jumla ya madktari watano wanaofanya kazi chini ya kampeni ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hasan kufikisha madktari bingwa katika hospitali za wilaya kusaidia wananchi wasiokuwa na uwezo wa kufika katika hospitali kubwa kwa ajili ya kukutana na madaktari bingwa kupata huduma za kiafya.

'.. Tumepokea madaktari bingwa watano katika hospitali yetu ya wilaya na kiukweli tunamshukuru sana Rais Dkt. Samia kwani si jambo jepesi kwa mwananchi wa kawaida kuwafikia madktari hawa kutokana na gharama lakini akaona awalete huku walipo waweze kupata huduma..'

Aidha amewataka wananchi wajitokeze kwa wingi kwani halmashauri imetoa usafiri bure kuwafikisha wananchi hospitali ya wilaya na kurudi ambapo kituo ni kuanzia makao makuu ya Manispaa Buswelu .

 Madaktari bingwa waliopo ni bingwa wa  watoto,  upasuaji, mambo ya ndani,magonjwa ya wanawake na dawa za usingizi na ganzi.

Kwa upande wake Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto kutoka hospitali ya chuo kikuu cha Dodoma chini ya kampeni ya Rais Dkt Samia Bi. Rehema Tagarile amefafanua kuwa muitikio wa wananchi katika kupata huduma ni mzuri na wakuridhisha huku wagonjwa wengi waliojitokeza kwake ni wale wanaosumbuliwa na magonjwa ya mfumo wa hewa na mfumo wa damu na kwamba ameweza kuwapatia matibabu, ushauri na rufaa kwa wenye uhitaji wa muendelezo  wa matibabu .

Ederick Mathias Rutashobya ni mwananchi wa kata ya Bugogwa wilaya ya Ilemela ambapo mbali na kuishukuru Serikali kwa madaktari bingwa hao akaomba utaratibu huo uwe endelevu Kwa kuwa si wananchi wote wenye uwezo wa kugharamia matibabu pamoja na kuwaasa wananchi wengine kujitokeza na kutumia fursa hiyo.

Madktari hao watakwepo wilaya ya Ilemela kwa muda wa siku tano kuanzia jana siku ya jumatatu Juni 17 hadi Ijumaa Juni 21 wakihudumia wananchi kwa malipo taslimu au kugharamiwa na mfuko wa bima ya afya.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.