• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANANCHI ILEMELA WAPONGEZWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: March 11th, 2023

Wananchi wa  Ilemela wamepongezwa na Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula kwa namna wanavyochangia na kuchochea utekelezaji wa shughuli za maendeleo ndani ya kata zao.


Pongezi hizo zimetolewa wakati wa ziara ya Mbunge wa jimbo hilo iliyolenga  kusikiliza kero, changamoto pamoja na kupokea ushauri kutoka kwa wananchi wa kata za Nyakato, Nyamhongolo na Buswelu ambapo amewapongeza wananchi hao kwa kuchangia nguvu kazi pamoja na fedha kwa ajili kutatua kero mbalimbali ikiwemo masuala ya upatikanaji wa maji pamoja na ujenzi wa shule katika kata zao.

'.. Niwapongeze kwa kazi kubwa inayoendelea kufanyika, kwani pamoja na fedha za Serikali, bado wananchi mnaunga juhudi za serikali kwa kuchangia nguvu zenu ..' Alisema


Sambamba na hilo Dkt Mabula amechangia kiasi cha shilingi milioni 4 kutoka mfuko wa jimbo kwa ajili ya utatuzi wa kero ya upatikanaji wa maji , shilingi laki 4 kwa ajili ya uwekaji wa umeme katika shule ya msingi Kangaye na mifuko 100 ya saruji ikiwa ni mchango wa ujenzi wa kituo cha polisi Nyamhongolo sambamba na kuwataka kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Mhandisi Modest Apolinary, mkurugenzi wa Ilemela akizungumzia kuhusu mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na hlmashauri kwa wanawake, vijana na watu wenye ukemavu, amesema kuwa takriban shilingi milioni 490 zimetolewa huku akiwataka wananchi wote wenye changamoto za upimaji wa ardhi kuandika malalamiko yao katika ofisi za watendaji wa kata zao ili ziweze kupatiwa ufumbuzi.

Aidha mhandisi Modest amefafanua kuhusu hatua zilizofikiwa kuhusu ujenzi wa barabara kutokea Buswelu mbogamboga kupitia Nyamadoke hadi Nyamhongolo na ile ya Buswelu-Busenga hadi Cocacola na kusema kuwa hadi sasa hatua iliyopo ni ya manunuzi ambapo tayari tangazo la zabuni ya ujenzi wa barabara imeshatangazwa.


Fute David ni Mhandisi wa idara ya maji safi na maji taka ya jijini Mwanza MWAUWASA akifafanua kuhusu suala la ukosefu wa maji amewataka wananchi wa Mtaa wa Kangaye kuwa wavumilivu kutokana na kero ya ukosefu wa maji safi na salama na kwamba mamlaka yake inaendelea na juhudi za kumaliza kero hiyo kwa kujenga chanzo kipya cha maji cha Butimba, kufanya mgao wa huduma za maji ili angalau kila mwananchi apate  pamoja na kuchimba visima vitakavyorahisisha upatikanaji wa huduma hiyo


Katika ziara hiyo wananchi walipata fursa ya kuwasilisha changamoto mbalimbali zikiwemo za ukosefu wa huduma za maji safi na salama, ubovu wa barabara pamoja na kukatika kwa nishati ya umeme uunganishiwaji wa umeme changamoto ya zoezi la urasimishaji, kero ambazo Serikali imeahidi kuzitatua.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.