• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANAFUNZI WATAKIWA KUITUNZA NA KUILINDA MIUNDOMBINU YA SHULE

Posted on: March 21st, 2023

Wanafunzi wa shule ya sekondari Buzuruga katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuitunza na  kulinda miundombinu ya shule hiyo iliyogharimu zaidi ya kiasi cha shilingi milioni mia nne na sabini fedha za kutoka Serikali kuu kwa ufadhili wa benki ya dunia kupitia mradi wa SEQUIP pamoja na kutunza mazingira yake


Wito huo umetolewa na ndugu Joel Mhoja kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakati wa ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa miradi inayotekelezwa ndani ya Halmashauri hiyo kupitia mpango wa SEQUIP ambapo amewataka wanafunzi kulinda miundombinu ya shule ili isiharibike pamoja na kuhakikisha wanapanda miti kwa ajili ya kutunza mazingira yanayozunguka shule hiyo.

‘.. Serikali inafanya jitihada ya kuhakikisha mnasoma katika mazingira mazuri, Niwaombe watoto kuilinda na kutunza mazingira pamoja na miundombinu yake kwa namna yeyote msiwe sehemu ya kuhujumu ubora wa miundombinu yetu, Alisema


Kwa upande wake mratibu wa mradi wa SEQUIP kutoka Benki ya Dunia Bi Innocent Najima Olingo amewataka wanafunzi kuzingatia masomo ili uwekezaji uliofanyika uwe na tija sambamba na kuwataka wanafunzi hao kuishukuru serikali kwa jitihada inayofanya kuwekeza katika elimu.

Mwalimu Sylvester Mrimi ambae ni Kaimu Mkurugenzi ameishukuru Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hasan kwa utekelezaji wa mradi huo pamoja na kuahidi kufanyia kazi ushauri wote uliotolewa na wataalam hao.

Timu hiyo ya wataalam kutoka OR-TAMISEMI, Wizara ya Elimu na Benki ya Dunia imefanya ziara katika shule ya Sekondari Buzuruga, shule ya msingi Mwenge na kutembelea eneo itakapojengwa shule ya msingi Igalagala kata ya Sangabuye ambapo walitumia nafasi hiyo kuipongeza manispaa ya Ilemela kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa mradi huo uliozingatia ubora na ufanisi


Shule ya sekondari Buzuruga ilianza mwezi Mei, 2022 ikiwa na wanafunzi 368 wakike 190 na 178 wakiume wote kutoka shule za Kangaye na Nundu na mpaka sasa ina jumla ya wanafunzi 1,122, 529 wakiume na 593 wakike huku ikikabiliwa na changamoto za uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi, uhaba wa vitabu, samani za ofisini na nyumba za walimu amesema Mkuu wa Shule hiyo Mwalimu Bertha Nkuba

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.