• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WANAFUNZI WATAKIWA KUISHI MTINDO BORA WA MAISHA

Posted on: October 25th, 2024

Wanafunzi wa Manispaa ya Ilemela wametakiwa kuishi kwa kufuata mtindo bora wa maisha ili kujikinga na maradhi yanayoweza kuepukwa kwa kufanya mazoezi,kula lishe bora sambamba na kutembelea vituo vya afya mara kwa mara kufahamu hali za afya zao.

Hayo yamesemwa na Afisa lishe wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi .Pili Khasim wakati alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Bujingwa iliyopo kata ya Buswelu ikiwa ni muendelezo wa kutoa elimu ya afya na lishe katika maadhimisho ya wiki ya lishe kitaifa.

" ...Mnapaswa kula lishe bora ninyi bado mnakuwa, kuleni mlo kamili muimarishe afya zenu na akili zenu kwa ujumla.Taifa linawategemea muwe viongozi wa kesho mtakaoweza kuiletea nchi yetu maendeleo..."

Aidha Afisa lishe huyo amewaasa wanafunzi hao kuacha kujihusisha na matumizi ya vileo mbalimbali , madawa ya kulevya na uvutaji bangi ambao madhara yake ni pamoja na kusababisha vijana kuchanganyikiwa,kupoteza uwezo wa kufikiri na kufanya vibaya kitaaluma sambamba na kujipandikizia magonjwa ya kudumu kama vile magonjwa ya moyo na figo.

Mbali na elimu ya lishe waliopatiwa, wanafunzi hao walipata fursa ya kuelekezwa na kufanya mazoezi mepesi ya viungo yatakayoweza kuimarisha miili yao.

Cecilia John ni mwanafunzi katika shule ya sekondari Bujingwa amepongeza juhudi za Manispaa kutenga muda na kuwafikia kuwapa elimu juu ya afya zao.

"...Hapa shuleni tunafundishwa vitu vingi pamoja na haya ya kiafya lakini ujio huu umekuwa wa pekee sana na kila mtu naona kama amefurahi,itachukua muda kusahau tuliyofundishwa hapa.."

Akihitimisha kusanyiko hilo Mkuu wa shule ya sekondari Bujingwa Mwl.Magweiga Chacha Magabe amewataka wanafunzi wake kuwa mabalozi wazuri kwa familia zao wanakotoka na mfano wa kuigwa kwa jamii katika kuyaishi yale yote waliofundishwa .

















Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • WATAALAM WA MANISPAA YA ILEMELA WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI WA UMMA

    May 29, 2025
  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.