• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WALEZI NA WAZAZI WATAKIWA KUWAPATIA WATOTO MLO KAMILI

Posted on: March 28th, 2023

Wazazi na walezi wametakiwa kuhakikisha watoto wanapata mlo kamili wenye virutubisho vyote muhimu vya makundi ya chakula kwa ajili ya ukuaji wa binadam ikiwemo protini, wanga, vitamini, madini, mboga mboga, matunda na maji


Hayo yamebainishwa na afisa Lishe wa manispaa ya Ilemela Bi Pauline Machango wakati wa zoezi la utoaji wa elimu kwa vitendo juu ya masuala ya lishe, ugawaji wa Chanjo ya vitamini 'A' na Dawa za minyoo kwa watoto wadogo lililoendeshwa katika mitaa ya Kaguhwa kata ya Nyamhongolo na Igombe ‘B’ kata ya Bugogwa ambapo amewasisitiza wazazi na walezi kuhakikisha watoto hawakosi mlo wenye makundi yote ya chakula ili kuwakinga na maradhi sambamba na kuwa kinga dhidi ya udumavu


‘.. Wapeni watoto chakula chenye mjumuisho wa makundi yote muhimu katika kila mlo, Maji hayamo katika makundi hayo lakini msiache kuwapa maana maji ndio sehemu kubwa katika mwili wa binadamu na ndio yanayosaidia makundi yote hayo yaweze kufanya kazi kwa urahisi mwilini ’ Alisema

Aidha Bi Machango amewaasa wazazi kutenga muda kwaajili ya kufuatilia ukuaji wa watoto na malezi yao badala ya kuwaachia wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wengine wa nyumba pekee


Nae Bi Pili Kasim kutoka kitengo cha afya na lishe, amewaomba wazazi na walezi kuacha tabia ya kukatisha kuwapeleka watoto kliniki pindi wanapofikisha miaka miwili na nusu hasa baada ya kumaliza chanjo zilizozoeleka ikiwemo ile ya ugonjwa wa Surua, mlango wa kizazi, kupooza, homa ya uti wa mgongo na ile ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu

Levina Merickiad ni mtendaji wa mtaa wa Kaguhwa, amesisitiza kuwa ukosefu wa kipato isiwe sababu ya watoto kukosa mlo kamili kwani makundi yote muhimu ya chakula yanaweza kupatikana hata katika vyakula vya kawaida visivyokuwa na gharama kubwa kama mchanganyiko wa kisamvu, viazi, yai, karanga, dagaa na vyakula vyenginevyo vyenye gharama nafuu na vinavyopatikana kwa urahisi


Bi Zawadi Evarist kutoka mtaa wa Igombe ambae pia ni mzazi wa mtoto Teopister Soba Charles aliyekutwa na utapiamlo na Bi Jesca Peter mkazi wa Kaguhwa kwa nyakati tofauti wameishukuru Serikali kwa elimu iliyotolewa dhidi ya kuwaandalia watoto mlo kamili pamoja na tahadhari za kuchukua ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na ukosefu wa mlo kamili sanjari na kuahidi kufanyia kazi elimu waliyoipata kutoka kwa wataalam wa Lishe

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.